Watoto wa shule sekondari siku hizi hawapendi kuchomekea! Nani alaumiwe kati ya Wizara, Wazazi au Walimu?

Wa kiume wanavaa viatu bila Soksi! Tunakoelekea hata watoto wa kike hawata vaa tena chupi wanavaa zile chupi za tandabui kama barakoa
 
Hii ndio point, tatizo wazazi wengine hua wanawaacha watoto wao wachague kuishi wanavyotaka wao sio wanavyotaka wazazi, shida ndio inaanzia hapo
Wazazi wanaweza kudanganywa ndo sare ya shule kaambiwa na shule iwe hivyo, dawa na huko huko shule
 
Na bado vijembe vingine vitakuja mbona nyie ndo mlisimamia jukumu zima la kupeleka mende bungeni ona sasa wanacho wafanyia
 
Kuna uongo pia hapa
 
Yanatokea hayo MAWAZIRI ELIMU MPO, WAZIRI TAMISEMI UPO, Wakurugenzi mpo, maafisa elimu mpo, wakuu wa shule mpo, walimu mpo MNAANGALIA
Hao wote mnawaonea jukumu la kwanza la maadili ni la mzazi nyumbani, siku hzi tunadhani mtu mwingine atasaidia kurekebisha mwanao wewe ukiendelea na ubusy. hao wa5 kati ya 100 imekuwaje wamechomekea? Malezi malezi malezi. hakuna atakayekufundishia adabu mwanao zaidi yako ww mzazi ulomzaaa
 
Bado sijaona utovu wa nidhamu hapo... [emoji848]kwamba kuchomekea ndio unanidhamu zaidi? Mbona kuna watu maofisini wanachomekea na kuvaa tai kabisa ila ndio wala rushwa namba 1, wahujumu uchumi na watumizi wa mali za umma kwa faida zao binafsi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ujinga tu. Au ndio yadumu mawazo ya muingereza
 
Kwahiyo unashauri wavae hata bikini poa tu si ndiyo, watie na vikuku miguuni safi , wavae hadi shanga na cheni poa tu au siyo?
 
Kuweka usawa kwa wanafunzi wote ili kuondoa inferiority
Basi na uraiani tuvae uniform ili kuondoa inferiority.
Yani hakuna uhusiano wowote kati ya usawa na mavazi.
Kitendo cha watoto wa masikini kusoma Kata na mfagio na wengine kusoma Feza kwenye school bus tayari kimevunja point yako ya usawa.
 
Wanaandaliwa ili waje kujiajiri asa wachomekee ili iwaje?
Kwa hyo kujiajiri ndio usichomekee vzr na kuwa nadhifu

Huu Ni ujinga waziri mkuu alikemee hili swala kwa biti kubwa

Au Kam vip watagaze nchi nnzima kuwa akikutwa mwanafunzi aja chomokeaa na kuvaa njiwa tuwatandike hadharani
 
Kwahiyo unashauri wavae hata bikini poa tu si ndiyo, watie na vikuku miguuni safi , wavae hadi shanga na cheni poa tu au siyo?
Kuvaa bikini hio ni kitu kingine. Kuvaa cheni, vikuku, kacha kwanini ukataze? Labda ukataze wakiwa shuleni (kwa malengo ya kwamba wasiharibu uniform) lakini walikitoka nje ya shule mm naona wavae tu hata wasipotaka kuchomekea... na kuhusu mabegi unaona ni sahihi mwanafunzi kutembea njia nzima na mzigo wa madaftari? Madaftari waache shuleni watembee na homeworks tu... [emoji2377]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
π•¨π•’π•€π•™π• π•Ÿπ•–π•¨π•– π•«π•šπ•π•– π•›π•–π•«π•š 𝕫𝕒 π•‚π•œ π•€π•–π•”π•¦π•£π•šπ•₯π•ͺ, 𝕀𝕙𝕒π•₯π•š π•Ÿπ•’ π•Ÿπ•˜π•¦π•  π•ͺ𝕒 π•”π•™π•šπ•Ÿπ•š π•§π•šπ•žπ•–π•¦π•Ÿπ•˜π•¨π•’....π•žπ•œπ•’π•Ÿπ••π•’ π•Ÿπ•  𝕦 π•’π•¨π•’π•π•šπ•Ÿπ••π•’ 𝕝𝕒 π•€π•šπ•§π•ͺ𝕠 π•§π•šπ•Ÿπ•˜π•–π• π•Ÿπ•–π•œπ•’π•Ÿπ•’ π•œπ•’π•žπ•’ π•Ÿπ•š 𝕧π•ͺπ•’π•Ÿπ••π•’π•π•¦π•’[emoji28]
 
Basi na uraiani tuvae uniform ili kuondoa inferiority.
Yani hakuna uhusiano wowote kati ya usawa na mavazi.
Kitendo cha watoto wa masikini kusoma Kata na mfagio na wengine kusoma Feza kwenye school bus tayari kimevunja point yako ya usawa.
Hujanipata mkuu, ninamaanish kuwa kwa wanafunzi wa shule hakili zao bado hazijakomaa, akiona mwenzake anakuja na suti kila siku inamharibu kisaikolojia. Lakin kwa wewe mtaani ni mtu mzima unajari maisha yako tu.

Kingine hapo umecompare private na serikali. Tukichukulia let say serikalini kwenye hizo hizo shule za serikali kuna watoto wa watu wazito, mfano Tabora boys, Pugu, Kisimili, Ilboru. Ambao pia uwezo wa kuvaa mavazi ya gharama wanao. Kwahiyo sare inaweka usawa kwenye shule moja moja husika mtoto alipo.

Ukitaka ufanye comparison ya serikali na private basi kuna mwingine ataleta hoja kwamba kuna wengine wanasoma abroad wengine ndani ya nchi
 
Mzazi hakikisha mwanao akitoka nyumbani mkague, sare za shule zisimamie na umpe onyo kwamba nikikuta suruali au shati limepunguzwa ole wako....
Sahih kbsa mm Nakereka na hz suruwali za njiwa mno ningekuwa head master ningezichana chana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…