Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fact mkuuMitoto ya sku izi so soft na tabia za kipuuzi tu.. yani inalia machozi kabisa kwa kitu cha kingese sana...
Enzi hizo mitoto ilikua kulia ni shuhuli nzito kuchezea stiki ni kawaida tu ila sku hizo ukimchapa mtt fimbo moja tu hicho kilio chake majirani lazma waamke...
Too much uzungu kwenye malezi ndo kunaleta these week ass babies... kitoto kidogo kinahisi kinamiliki dunia yani eveything kwake ni yes tu hajui no
Nakazia malezi kizungu sio ishuMalezi ya Kishua na Kizungu sanaaaa ndio yanaharibu watoto
Malezi hayabadiriki mkuu inawezekana tupo generation mpya Ila ndo ukae uchi mbele ya watoto zako wa jinsia tofauti kwerizama zinabadilika usikariri maisha
Ukweri mtupuMalezi ya single maza yamechangia kwa kiasi fulani ongezeko la mashoga
💯🤝Ukweri mtupu
Duuh niliwah kutana na hii aiseee ule mji sitorudi tena..Unazungumziaje Wale Watoto akija Mgeni, Mara avutwe Shati, ashikwe nywele, mara mtoto kampanda mgongoni Mgeni huku Mama yake anacheka tu.
Duh noma sana.......a very useful thread kama tutake it into actions, asilimia kubwa ya wazazI wa mid 80s and 90s wana kaulimbukeni ka maisha ya wazungu kalikosababishwa na maendeleo ya technolojia.....wazazi wanajiona wa kisasa na kwamba wanaishi kizungu Kwa kukaa nusu utupu mbele ya familia au watoto.......hiyo ipo sana ndugu mtoa mada, wanawake wengi ndo wanapenda pigo za kushinda chumbani amevaa pant(kyupi) only na yuko na katoto kake kakiume.........na katoto unakaona kabisa kanajitambua fulani, lakini pia wengine utaona ameenda kuoga na ktoto kake kakiume bafuni........maadili yanavunjwa kwa kigezo kwamba hivyo ndo kuishi kishua na wengine huwa wanapost kabisa........
Mkuu uliona masaa hayaendi ili uondokeDuuh niliwah kutana na hii aiseee ule mji sitorudi tena..
yaaani dogo alinipandapanda mixer kunivuta nguo, kunichafua aiseee muda ulikuwa hauendi.!Mkuu uliona masaa hayaendi ili uondoke
Hakunywa juice uliyoletewa au kudokoa snacks? [emoji3][emoji3]yaaani dogo alinipandapanda mixer kunivuta nguo, kunichafua aiseee muda ulikuwa hauendi.!
Kwahiyo kama kapeleka tumbo... Ndo ruhusa mtoto kukosa adabu? Nyie ndo mmazalisha mashoga na wasagajiHasa mgeni umepeleka tumbo tu na umbea umbea utegemee heshima kweli
Mkuu tulikunywa pamoja na dogo anaaachaje??Hakunywa juice uliyoletewa au kudokoa snacks? [emoji3][emoji3]