Watoto wa siku hizi wanadekezwa sana

Watoto wa siku hizi wanadekezwa sana

Mitoto ya sku izi so soft na tabia za kipuuzi tu.. yani inalia machozi kabisa kwa kitu cha kingese sana...
Enzi hizo mitoto ilikua kulia ni shuhuli nzito kuchezea stiki ni kawaida tu ila sku hizo ukimchapa mtt fimbo moja tu hicho kilio chake majirani lazma waamke...

Too much uzungu kwenye malezi ndo kunaleta these week ass babies... kitoto kidogo kinahisi kinamiliki dunia yani eveything kwake ni yes tu hajui no
Fact mkuu
 
......a very useful thread kama tutake it into actions, asilimia kubwa ya wazazI wa mid 80s and 90s wana kaulimbukeni ka maisha ya wazungu kalikosababishwa na maendeleo ya technolojia.....wazazi wanajiona wa kisasa na kwamba wanaishi kizungu Kwa kukaa nusu utupu mbele ya familia au watoto.......hiyo ipo sana ndugu mtoa mada, wanawake wengi ndo wanapenda pigo za kushinda chumbani amevaa pant(kyupi) only na yuko na katoto kake kakiume.........na katoto unakaona kabisa kanajitambua fulani, lakini pia wengine utaona ameenda kuoga na ktoto kake kakiume bafuni........maadili yanavunjwa kwa kigezo kwamba hivyo ndo kuishi kishua na wengine huwa wanapost kabisa........
Duh noma sana.
 
Mtoto anafanya anachojisikia yeye kiufupi anajiongoza haongozwi na mzazi
 
Kuna hii tabia yakusema watoto wasichapwe hii tabia ni mbaya mno ,ina matokeo mabaya mno apo baadae.
 
Kuna mwingine hapa mama yake ana duka la reja reja....ukifika tu kwake,mtoto ataanza kukuganda umnunulie soda Mara bigboo,Mara juice,Mara biskut Mara nini, yaani unavunga wapi. Huku mama yake akimkodolea macho. Mpaka unaona Ainu unamnunulia huku mama yake akinyenyuka kwenda kumhudumia utadhani ni mteja. Fakini!!!!
 
Malezi yote hutokana na mazingira kila mtu analea mtoto wake kutokana ma mazingira yanayomzunguka

Halafu tujifunze kitu jaman kila mtu analea vile anataka kulea Mwanaye, sasa mambo ya kuingilia malezi ya mtu mwingne kwa Mwanaye huo ni udikiteta

Malezi ya leo sio malezi tulokulia tulio weng
Unatembea barabaran unakutana na binti kaongozana na familia yake ila kavaa kimini kifupi au surual iliyobana sasa ww km mpita njia unataka ufanye nn wakat wazazi wake wamemruhusu
Jaman kla mtu atabeba mzgo wake
We ukilea mwanao kwa maadili unayoona ww ni sahihi bas usihoji wenzio kwa malezi yao ambayo wanaona wao ni sahihi

Kwa kifupi kla mtu ashinde mechi zake
 
Back
Top Bottom