Watoto wa siku hizi wanadekezwa sana

Watoto wa siku hizi wanadekezwa sana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa nguvu, Wife kastuka usingizini kwa bed. Ananiambia “endelea kuchekeshwa na malaya zako kwa simu”

Muonyesh nae acheke [emoji23]
 
kuna limoja nilikuta linamsuka mwanaye wa kiume nywele ilinichukua muda sana kujua kwamba dogo ni ME baadaye likiwa bwabwa anaanza kwenda kutafuta mafuta ya alizeti kwa mwamposa, watu wamevurugwa sana maaneeneeer

Duh
 
Kuna mwingine hapa mama yake ana duka la reja reja....ukifika tu kwake,mtoto ataanza kukuganda umnunulie soda Mara bigboo,Mara juice,Mara biskut Mara nini, yaani unavunga wapi. Huku mama yake akimkodolea macho. Mpaka unaona Ainu unamnunulia huku mama yake akinyenyuka kwenda kumhudumia utadhani ni mteja. Fakini!!!!
Sasa hapo aibu ya nini kama mimi namkazia tu hadi ataona aibu yeye na mama yake
 
Malezi yote hutokana na mazingira kla mtu analea mtoto wake kutokana ma mazingira yanayomzunguka

Afu tujifunze kitu jaman kla mtu analea vle anataka lea mwanae sasa mambo ya kuingilia malezi ya mtu mwingne kwa mwanae uyo ni udikiteta na ukuda

Malezi ya leo sio malezi tulokulia tulio weng
Unatembea barabaran unakutana na binti kaongozana na familia yake ila kavaa kimini kifupi au surual iliyobana sasa ww km mpita njia unataka ufanye nn wakat wazazi wake wamemruhusu
Jaman kla mtu atabeba mzgo wake
We ukilea mwanao kwa maadili unayoona ww ni sahihi bas usihoji wenzio kwa malezi yao ambayo wanaona wao ni sahihi

Kwa kifupi kla mtu ashinde mechi zake
Hatukukatazi kudekeza mtoto wako...dekeza unavyotaka cha muhimu asiwe kero kwa wengine
 
Wa kumlaumu ni mwanaume, familiar yyte ikiyumba ujue mwanaume hajakaa nafasi yake ,
Unakuta na yeye ana Ile 50/50 na maswala ya utandawazi huo upuuzi kwenye familiar yangu hawez tokea ,
Wanawake hawapaswi kupewa uhuru wowote ule , iwe wa mavazi au sehem za kwenda.
Almost %95 ya maisha yao yanatakiwa kuhakikiwa na mwanaume kama sio baba yake basi mme wake
NB: ni mwanaume mwenye akili zilizo KAMILIKA sio Hawa wa Sasa ,
(mfano huyo ulienkuta mkewe mapaja wazi , huyo hapana)
 
Hayo mambo ya kuhusu watu kujiweka utupu yanategemea, mila na jadi na mtu alipotokea. Wengi wa wakosa maadili utakuta wametokea kwenye familia zilizoacha kujifunza na kufunza vizazi vyao maadili kutokana na mafundisho ya dini.

AlhamduliLlah, Uislam unahimiza stara popote tulipo. Nasisitiza, tusichanganye Uislam na Muislam.

Ninewaona Waislam wengi ambao utamkuta katupia khanga moja tu mbele ya watu na hata hajali kabisa, kinyume kabisa na mafundisho ya Uislam.

Hali kadhalika kwa wasio Waislam.

Tatizo la kutokuwa na maadili ni watu kuwacha kusoma na kusomesha dini watoto zetu.

Hutokuta upuuzi wa maadili kwenye familia zinazofata na kushika mafundisho ya dini.

Tunaishi kutokana nanayoyaona kwenye nedia za kimagharibi, ambayo yote uliberali (ushetani).

Hatujachelewa kurudi kwenye maadili kwa kufata mafundisho ya dini. Tukumbushane mara kwa mara, asaa tutamuokoa japo mmoja.
FaizaFoxy achaa udini, kuna watu hawajui hata dini ni Nini na wanawalea Watoto wao kwenye misingi mema ya adabu kwa Jamii! Swala la malezi ni general,usipende kusingizia Dini kila kitu!!!
 
Nagombana na wanangu mapema sana kuhusu hilo niepukane na aibu hii Mbele ya mgeni sio heshima hata kidogo hata mtt kuzoea mgeni kupita kiasi sio vizuri Hawakawii kuuliza mgeni unaondoka lini..au unakula sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa nguvu, Wife kastuka usingizini kwa bed. Ananiambia “endelea kuchekeshwa na malaya zako kwa simu”
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom