Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Coca hatari jinsia ME wakubwa kwa wadogo wanafirwa huko mashuleni hali ndo sio shwari kabisaYaan nlitaka nishangae ushoga usitajweee. Khaaaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Coca hatari jinsia ME wakubwa kwa wadogo wanafirwa huko mashuleni hali ndo sio shwari kabisaYaan nlitaka nishangae ushoga usitajweee. Khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna limoja nilikuta linamsuka mwanaye wa kiume nywele ilinichukua muda sana kujua kwamba dogo ni ME baadaye likiwa bwabwa anaanza kwenda kutafuta mafuta ya alizeti kwa mwamposa, watu wamevurugwa sana maaneeneeer
Kama kwa neno "udini" unamaanisha Uislam, itabidi uache wewe udini. Utaumia sana, Uislam na mimi ni kama bahari ya hindi na chumvi, hatuachani.FaizaFoxy achaa udini, kuna watu hawajui hata dini ni Nini na wanawalea Watoto wao kwenye misingi mema ya adabu kwa Jamii! Swala la malezi ni general,usipende kusingizia Dini kila kitu!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hapo aibu ya nini kama mimi namkazia tu hadi ataona aibu yeye na mama yake
Hata mitaani, ofisini, makazini, etc.Coca hatari jinsia ME wakubwa kwa wadogo wanafirwa huko mashuleni hali ndo sio shwari kabisa
Single maza wanawalea watoto wa kiume kichoko choko sana angalia hata mastaa single maza watoto wao wa kiume ni mashoga kabisaHata mitaani, ofisini, makazini, etc.
Ushoga uko kila sehemu, ila sio single mama wanachangia.
Na hawa walio ktk familia ya wazazi wotee?
Hapo nakataa kabisa ila mzee hakuna aliye perfect kwenye maleziSingle maza wanawalea watoto wa kiume kichoko choko sana angalia hata mastaa single maza watoto wao wa kiume ni mashoga kabisa
Angalia mtoto wa UwoyaHapo nakataa kabisa ila mzee hakuna aliye perfect kwenye malezi
Ni pesa ndio inewafanya ivyoAngalia mtoto wa Uwoya
Mtoto wa Fayvanny
Mtoto wa Monalisa
Mtoto wa Zari n.k
Machoko tupu
MaleziNi pesa ndio inewafanya ivyo
Saw mkuuMalezi
Huyo mtoto anapata malezi mema. Ameshajifunza kuwa plate yake asimwachie mtu akambebea, na huko anaenda kuiosha mwenywe. Ulitaka plate yako akubebee nani?Nimemtembelea mshua mmoja Baada ya msosi dogo ananiambia carry your plate 😀😀😀
Wewe ndiyo huna maadili, utavaaje mlango wazi?Dah ase miak mitaty inatosha
Juzi nilikuwa naoga sasa navaa mtoto kaja si akaaza kulopa embu mdudu wako kojoa nilitaka nimfinye ila nikamuacha tu
Mlango niliufunga ila mtoto alikuja huwa siwaz kama anaelewa ivyo vituWewe ndiyo huna maadili, utavaaje mlango wazi?
Ukiufunga ataingiaje? Hapo haiingii akilini.Mlango niliufunga ila mtoto alikuja huwa siwaz kama anaelewa ivyo vitu
Ulete ujuaji tena kwenye nyumba za watu na wewe ni mgeni. Hiyo plate unajua pa kuipeleka? FaizaFoxy hiyo kweli imekaa sawaHuyo mtoto anapata malezi mema. Ameshajifunza kuwa plate yake asimwachie mtu akambebea, na huko anaenda kuiosha mwenywe. Ulitaka plate yako akubebee nani?
Aha mimi siwazagi hayo yoteUkiufunga ataingiaje? Hapo haiingii akilini.
Hahaha hiyo hapana asee siweziYes, unaibeba unauliza, kwani unakula peke yako?