FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Unamwambia mtoto, aache kukupandia pandia, mama'ke ataelewa kuwa hukubaliani na mambo hayo. Atakuelewa tu.Unazungumziaje Wale Watoto akija Mgeni, Mara avutwe Shati, ashikwe nywele, mara mtoto kampanda mgongoni Mgeni huku Mama yake anacheka tu.