Watoto wa viongozi wakuu wa nchi walipwe ili kuwatia moyo

Asante kwa mapendekezo ila vigezo sina Mimi ni maskini kwahiyo natakiwa nishinde na jua shambani ili ipatikane ya kuwalipa hao maviongozi na ndugu zao mkuu
Uko vizuri mkuu. Wakuweke kwenye lile likitabu la Ginizi[emoji1787]
 
Sasa milioni 3 inamtoshaje mtu jamani!!!
Labda kama watawapa 100k kila siku kwa ajiri ya mafuta na pombe.

Watoto wa viongozi sio watu wa kukaa hivi hivi,mtu kama abdul sio jambo la busara kumpigia simu mama yake anaomba ela ya kununua boxer.
 
Wapewe ndinga ambazo hapa Bongo hazijaingia bado.Ili tuwe tunaziona live kitaani. Subaru hata wauza magenge wanazo nyingi tu[emoji1787]
hili wazo zuri sana ,ikiwezekana watafutiwe na madereva wao maalumu
 
jamaa anachezea hiyo timu tena yupo first eleven πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Yaani amefeli vibaya sana. Mimi na shule zangu za matopeni nimeng'amua fasta tu. Anakwama wapi mtanzania mwenzetu huyu?. Mbona Watanzania tunasifika Sana Kwa akili kuchaji kama tumekula ubwabwa wa Hashimu Rungwe?[emoji1787]
 
Yaani amefeli vibaya sana. Mimi na shule zangu za matopeni nimeng'amua fasta tu. Anakwama wapi mtanzania mwenzetu huyu?. Mbona Watanzania tunasifika Sana Kwa akili kuchaji kama tumekula ubwabwa wa Hashimu Rungwe?[emoji1787]
hahahaha ndio wale ambao shuleni walikua hawasomi maelekezo..wanaanza tu kujibu maswali
 
daaah kubabeq huu unafiki ni mkubwa sana chief πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Na ukoo wao wakupe sema marafiki na michepuko yao
 
inachochea sana maana familia zao zitaishi maisha ya kifahari na ya kutokua na stress hivyo kupelekea utendaji wa wazazi wao uwe maradufu na wa kutukuka
Saaana. Watakuwa wanalala na mafaili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Reactions: EEX
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…