Hapo hakuna Udini bali kuna siasa za kuwaadaa waisilamu wasio jitambua serikali gani ya kidini inayo kopa kwa riba na kukopesha kwa riba serikali gani ya kidini kiongozi wake anayepatikana kwa sanduku la kura serikali gani ya kidini ambayo kuna mchanganyiko wa wanawake na wanaume kwenye uongozi serikali gani ya kidini inayo kumbatia ufisadi na ukabila upemba na uunguja na ubara hapo hakuna dini bali wametunga sheria hiyo kuwadanganya waisilamu wasio jitambua
 
Kwani mtu Kula chakula mchani kipindi cha mfungo ni uvunjifu wa katiba ya nchi?
Watu wajinga wajinga ndo wapo very attached kwenye mambo ya dini.
 
Hiyo sheria ipo kabla wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Hiyo sasa ni sheria au ni upuuzi! Mnalazimisha watu kufunga ili iweje sasa!! Hopeless kabisa nyinyi.

Halafu unafikiri mimi na akili zangu timamu naweza kuishi eneo lenye watu wenye vichwa flat!!
 
Kwahiyo ni lini Serikali ya Mapinduzi itaanza kuwafunga Watu ambao hawaswali hawaendi Makka kuhiji hawatoi Zaka na Ibada nyingine za Kiislamu mbona inakomalia kwa Watu wanaokula mchana kwenye Ramazani?
 
Kwahiyo ni lini Serikali ya Mapinduzi itaanza kuwafunga Watu ambao hawaswali hawaendi Makka kuhiji hawatoi Zaka na Ibada nyingine za Kiislamu mbona inakomalia kwa Watu wanaokula mchana kwenye Ramazani?
Hilo nalo neno !😅
😂😂
 
Mbona Waisilamu wa Bara hawalazumishwi na Serikali kufunga na wanafunga wengine hawafungi kila Mtu anakuwa Huru kuijamulia mambo yake.

Kwa hiyo Waisilamu wa Zanzibar hawamuamini Allah mpaka watishiwe kufungwa Jela ndio wafunge?
 
Mambo ya hovyo kabisa
 

Sio kila kinachoandikwa kwenye mitandao ni cha kuamini
 
Kwani mfungo huwa ni lazima ?
 
Sasa kula hadharani linakuwaje kosa wakati kufunga ni suala binafsi la muamini husika ?
Wakulaumiwa ni serikali kwa kuendelea kuisimamia amri hiyo hata baada ya mapinduzi kwa kujificha kwenye hoja ya utamaduni.

Napingana na wanaosema sheria hiyo ipo kwenye uislamu, mtume aliishi na jamii tofauti za watu, sijawahi kuona andiko linalounga mkono matendo hayo kwenye uislamu

Hii hapa taarifa ya mwaka 2017, naibu waziri akijibu swali la mwakilishi wa PAJE.

Ni wapi kataja sheria ya kiislamu hapo,
 
Ni kweli uislam hauna tatizo mimi nimekulia kwenye jamii ya waislamu, nashirikiana na waislamu kwenye nyakati zote hata za mfungo akikuta kwako unakula atakaa pembeni wewe utaendelea kula.

Hii sheria serikali haipaswi kuitekeleza kwa sababu inajenga chembechembe za ubaguzi kwa watu wasio waislam na wale ambao hawajafunga tu kwa hiari zao.
 
Lakini kwanini ule hadharani mwezi wa ramadhsni? Kila nchi ina by-laws zake kama huwezi kuzitii ondoka hilo eneo neenda pale unapo ona kuna usalama kwako.
By
Nakumbuka 2020 nimekamatwa pale CCM bar- Michenzani kisa nakula kipindi cha Corona. Niliteswa sana na Askari Police wa Kizanzibar. Wakinena maneno ya Wewe Mbara acha kuzingua

waitangazie umma kwamba wao ni dola ya kiislamu
 
Wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa tena hilo kosa hukumu yake ni mwaka mmoja jela na viboko 12 sita ukiingia na sita ukitoka tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Huu ni upunguani, au iliandikwa kipindi bado mpo utumwani na sultani anawacharaza viboko huku mnatumikishwa kwenye mashamba ya karafuu

Kweli utumwa uliwaathiri sana sasa endeleeni kukumbatia desturi za mabwana zenu wa kiarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…