Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishu ni kwamba Serikali haina dini, iweje mambo haya yaingizwe ?Wakristo hatuko na tabia za udini ila na hao wasiokuwa Islams huko kwa wavaa kobazi kwnn wasifuate tu taratbu kuepusha jam ndgo ndgo kama hzo
Kesho ule kiporo chako cha pilau mchana barazani kabisaMe nipo ndani kimyaaaaaa nimejifungia nakula pilau hapa
Wakikamatwa wataalibu soko la wataliiMie swali langu na wazungu wanaokula hadharani wakamatwa? Au wanaokamatwa ni wakina pangu pakavu?
Mi nafikiri hao huko znz kama wamekamatwa kuna vifungu vya sheria au kanuni vimevunjwa/kiukwa, sasa watu wakomae vifungu vifutwe na si kuvivunja ukitegemea utaachwa kisa vifungu ni kandamiziKwani ukimletea mtu mapendekezo/maoni yako, si ana haki ya kuyakubali au kuyapuuza?
Hicho ndicho kilichotokea sasa kwa Kanisa la Afrika na watu wake.
Nchi za watu hazikuhusuHuu ni upumbavu
Msinda njaa,acha unafiki wewehiyo sheria haina uhusiano na uislamu, tusinasibihishe kila jambo lililotendwa na muislamu kuwa ni uislamu wenyewe.
Fact 🙏🏼 asante Mkuu.Afrika Dini zililetwa tu
Matukio ya watu kukamatwa huko Zanzibar kwa kula hadharani mchana wa mwezi wa Ramadhani upo kwa miaka mingi haujaanza awamu hii.Sasa kama mtu imani yake inamruhusu kula anakamatwa kwa kosa gani?
Je, jeshi la polisi Zanzibar ni tofauti na polisi wa bara?
Je, serikali ya awamu hii Ina dini?
Kwa haya yanayo endelea hilo li nchi ni dola la Kiislam au ?View attachment 2947442