Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Hadi wewe EvilSpirit unanyanyasika!Mungu sijui kwanini anamuacha Allah atunyanyase hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi wewe EvilSpirit unanyanyasika!Mungu sijui kwanini anamuacha Allah atunyanyase hivi
WAACHIE SHARIA ZAOChagua moja linalo kufaa
Katiba inakataza watu kuwa wadini sana?Huu muungano ni takataka na siyo mda itatugarimu, wanzanzibar wadini Sana.
Sio kila Jambo ni la muungano.Kwahiyo haifwati Katiba ya muungano?
Shida tu vyombo vya serikali kujihusisha navyo, ingebaki tu kama taratibu, kanuni, mila na desturi za eneo husika ambazo zinatatuliwa Kwa maelekezo ambayo sio Sheria mfano "mtu anapoingia anaambiwa si busara kula hadharani na hata akionekana anakula anaambiwa". Ni kama tu watalii wanapoingia Kuna maeneo wanatakiwa wavae nguo za kujistiri na the same huku bara watu wakienda kijijini wanapiga nguo flani hiviHapana mkuu kule raia wengi wanakubaliana na kinachoendelea tunaopiga kelele ni watu wachache wa huku bara, tukisema kule kuna taratibu zao mnapiga makelele acha dawa iingie tu
Katiba inafatwa kutokana na utashi wa Rais aliyeko madarakani. Hata mahakama huamua kutokana na mtazamo wa rais anayekuwa madarakani, na sio Sheria zinavyosema.Kwahiyo haifwati Katiba ya muungano?
Allah mtemi sana aliwahi hata kuniezeka makofiHadi wewe EvilSpirit unanyanyasika!
Sikutegemea kuwa, Rais Mwinyi atakuja kusimamia UPUUZI huo!Ukiambiwa ni dola la kiislam, una la kufanya? Au utaishia kulalamika?
Huo ni uhuni na haukubaliki..Matukio ya watu kukamatwa huko Zanzibar kwa kula hadharani mchana wa mwezi wa Ramadhani upo kwa miaka mingi haujaanza awamu hii.
Kama Wazanzibari wenyewe wameridhia wewe MTU baki kinakuuma nini?Kwa haya yanayo endelea hilo li nchi ni dola la Kiislam au ?View attachment 2947442
Jitahidi kuelewa.Kwa hiyo huko hakuna dini nyingine? Kama zipo kwa nini wafuate utaratibu wa Mila za kiarabu?Hata akiwepo mmoja tu lazima muheshimu maamuzi yake. Wa KUFUNGA afunge wa kula ale fainali tukutane siku ya hukumu
Jambo la kuhoji ni je Serikali ya Mapinduzi ni Secular? Kama jibu ni Secular ni kwanini inajiingiza ku enforce Sheria za Dini?Hivi sisi majitu meusi tuna akili punje nini ? Mbona tunakumbatia hata taratibu za kishenzi kwa mgongo wa imani za kikoloni na utumwa
Umeeleza vema ndugu, sina la ziada la kuongezaShida tu vyombo vya serikali kujihusisha navyo, ingebaki tu kama taratibu, kanuni, mila na desturi za eneo husika ambazo zinatatuliwa Kwa maelekezo ambayo sio Sheria mfano "mtu anapoingia anaambiwa si busara kula hadharani na hata akionekana anakula anaambiwa". Ni kama tu watalii wanapoingia Kuna maeneo wanatakiwa wavae nguo za kujistiri na the same huku bara watu wakienda kijijini wanapiga nguo flani hivi
Yaani imebidi niingie chimbo kuona kama Kuna kidini inakatazwa kula hadharani na inaonekana ni rukhsa tu hadharani japokuwa Kuna nchi zina Sheria za kutokula hadharani.
All in all ukiingia / ukiishi eneo ambalo lina taratibu zake ambazo jamii imeamua kufuata basi huna busi kuji-twist uende na matakwa ya wengi
Yaani niache kula kitimoto?Hiyo ni moja ya njia ya bwana mwamwedi aliyoitumia kusambaza dini
Yaani unaambiwa uwe mwslam au ukatwe kichwa
Watanganyika washatiliwa limbwata , kwisha habari yaoSubiri Wakristo waanze kupiga kelele hilo tatizo litahamia hata huku Tanganyika. Suala la muda tu.
Kila siku Iftari yaani wanacheze hela ya serkali kwa kulishana futari kijinga kijinga!Hawa JPM ndio aliwaweza tu. Jana walikuwa na Kaswida zao IKULU.