Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Watanganyika kwenye udini wapo vizuri sana kama Serikali wakicheza na hii kitu itatusumbua kwa kweli.Watanganyika washatiliwa limbwata , kwisha habari yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanganyika kwenye udini wapo vizuri sana kama Serikali wakicheza na hii kitu itatusumbua kwa kweli.Watanganyika washatiliwa limbwata , kwisha habari yao
Kuna Sheria nyingine za States uwa zinafutwa na Supreme Court zinapokuwa zinakizana na Sheria Mama.Zanzibar ni Nchi ambayo imeungana na Tanganyika!
Zanzibar ina Serikali yake ya mapinduzi na ina sheria zake na ina Katiba yake....
Mfahamu hapa inatumika hekima ya tamaduni sio dini.Kwa mwezi huu kwa ramadhani kwa tamaduni ya Nchi hii
Ramadan ni suala la dini, na sio kila mtu ni muislamMfahamu hapa inatumika hekima ya tamaduni sio dini.
Mfano kule ulaya kuna tamaduni matamasha ya LGBT jee hapa Tanzania wakisema waje wafanye mtakubali kwa tamaduni zenu?.
Ulaya hamna tamaduni kama hiyo mkuu, kusheherekea kitu sio utamaduni.Mfahamu hapa inatumika hekima ya tamaduni sio dini.
Mfano kule ulaya kuna tamaduni matamasha ya LGBT jee hapa Tanzania wakisema waje wafanye mtakubali kwa tamaduni zenu?.
Me nipo ndani kimyaaaaaa nimejifungia nakula pilau hapa
Kesho ule kiporo chako cha pilau mchana barazani kabisa
Huo utaratibu unaoutetea kwa lugha nyepesi ni ubaguzi wa kidiniZanzibar ina utaratibu wake iliyojiwekea kwakuwa asilimia kubwa ya wakazi wa kule waislamu,,,,haitakiwi kula hadharani period...
Ndio maana nimesema kama mtatazama kwa mlengo huo mtalialia kila sikuHuo utaratibu unaoutetea kwa lugha nyepesi ni ubaguzi wa kidini
Kwani ni mara ya kwanza huko kuwakamata watu wanaokula wakati wa ramadhani
Ova
tanzania ni nchi huru kila mtu ana uhuru wa kufanya anachotaka maadam havunji sheria,Mfahamu hapa inatumika hekima ya tamaduni sio dini.
Mfano kule ulaya kuna tamaduni matamasha ya LGBT jee hapa Tanzania wakisema waje wafanye mtakubali kwa tamaduni