Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #61
Kwa mzee mtu mzima si vizuri akakufuata wewe ulipoTatizo lilianzia kwako Mkuu, kosa lako ni hili hapa:-
Unampigia simu mtu unamuambia upo maeneo aliyopo, unaomba kuonana naye halafu unapanga kuonana naye kwake yaani unajikaribisha kwa mtu
Hata mimi ningekukataa tu Mkuu, ulitakiwa, baada tu yakumuambia upo maeneo aliyopo, ungeomba kuonana mahali mpate kuongea mambo mawili matatu.
Sasa yeye ndio angepima na kukukaribisha kwake ama kukuuliza ulipo afanye michakato muweze kuonana.
Atakuwa amekuona unataka kujua mambo/maisha yake akaona akukatae tu Mkuu, usilaumu wala, ni maisha yalivyo tu.
😀 😀 😀Kwani kutembelea ndugu ndo furaha? Mimi kukaa na wanangu, Ibada na kukaa uchi na mke wangu ndo furaha.
😀😀😀shida kuna watu wakikutembelea kazi yao ni udadisi wa kijinga.
binafsi hata fundi akija kwangu nikaona anaangazaangaza macho na kuliza mambo yasiyohusiana na kilicho mleta namwambia chukua vifaa vyako hakuna kazi tena
Hii iko vizuri kama itatekelezwa; ingawa umbali wa kijiografia unaweza kuwa tatizo kwa baadhi ya maeneoBinafsi nadhani ni maamuzi ya jinsi unavyotaka kuishi na cycle yako.
Tengeneza cycle ambayo mnaweza kuamua mkutane lini, wapi ili mfurahie kidogo.
Nimeijaribu hii, inatusaidia sana kwa kweli, na kuna wakati mwambie kaka/dada yako aje na familia weekend muwe pamoja. Sijui tumemuwaje hakyanani!!
Kwa hali hiyo, kuna dalili zozote itakuja kutokea tukaishi kama zamani?Zamani watu waliweza kutembeleana kwasababu hatukuwa na matumizi mengi yanayohitaji hela.
Hakuna umeme (baadhi ya maeneo), simu wengine walikuwa hawana, vifurushi bei rahisi, vyakula vilikuwa vingi kwasababu hakukuwa na mabadiliko ya hali ya hewa, tunatumia antena (analogia), nauli bei nafuu, upatikanaji wa kazi ni rahisi n.k.
Sasa hivi matumizi yamekuwa mengi na upatikanaji wa pesa siyo rahisi.
Matumizi ya kila siku ambayo unatakiwa utumie, Bando ya internet, king'amuzi, bando la dk na sms, umeme na maji. Vyote hivyo vinahitaji hela.
Nikutafuta shilingi muda wote
Inasaidia kupunguza conflicts za kipumbavu , tabia ya unafiki na umbea wa Kitanzania ni kero sana , Individualism ndio solution ,kila mtu apambane na hali yake.Individualism ni nzuri sana katika kuleta maendeleo collectivism ya kiafrika ina upumbavu mwingi ambao ni unnecessary kama huu wa kutaka Kujuana juana.
Inshort sipendi mazoea ya hovyo hovyo na mtu katika maisha yangu binafsi regardless huyo mtu ni ndugu yangu wa damu au laaah!.
Kitu kipi kilichosababisha uadui uongezeke? Je maisha ya unayoishi sasa yanakupa furaha?Si hivyo tu siku hizi adui hatoki mbali.
Unamkaribisha mtu kwako kumbe kaja kuchunguza unaishi vipi akakutangaze.
Kila mtu akae kwake tutakutana kwenye matukio, harusi au misiba
Kabisa, watu wanaleta mazoea ya kijinga kwa sababu tu anakufahamu mpaka anavuka mipaka.Inasaidia kupunguza conflicts za kipumbavu , tabia ya unafiki na umbea wa Kitanzania ni kero sana , Individualism ndio solution ,kila mtu apambane na hali yake
Labda ukiwa hoi kitandani (hospitali) kwa muda wa miezi mitatu, utapenda watu wangapi waje kukujulia hali?Individualism ni nzuri sana katika kuleta maendeleo collectivism ya kiafrika ina upumbavu mwingi ambao ni unnecessary kama huu wa kutaka Kujuana juana.
Inshort sipendi mazoea ya hovyo hovyo na mtu katika maisha yangu binafsi regardless huyo mtu ni ndugu yangu wa damu au laaah!.
Ndio , watu hawana mipaka ,ustaarabu zero.Kabisa, watu wanaleta mazoea ya kijinga kwa sababu tu anakufahamu mpaka anavuka mipaka.
Itasaidia nini sasa ?Labda ukiwa hoi kitandani (hospitali) kwa muda wa miezi mitatu, utapenda watu wangapi waje kukujulia hali?
Huku kwetu Afrika watu hawajui hilo labda huko mambele huku maisha yako jamii nzima inataka kujua na kukupangia namna gani uishi namna wanavyotaka wao sio wewe( huu ni ujinga )Ndio , watu hawana mipaka ,ustaarabu zero.
Hawajui faragha za watu ,kiufupi mazoea yawe na mipaka kabisa .
Haitatokea aise.Kwa hali hiyo, kuna dalili zozote itakuja kutokea tukaishi kama zamani?
Mara nyingi kipindi hicho wengi hutamani kutembelewa na wengi kwa ajili ya faraja, lakini kutokana na life style yake anajikuta yuko yeye waoto na mke/mme.Itasaidia nini sasa ?
Fresh tu hakuna tatizo. ni namna wewe unavyofikiri lakini kila mtu yupo tofauti kimaisha na namna anavyo fikiri na kuchukulia mambo mbalimbaliMara nyingi kipindi hicho wengi hutamani kutembelewa na wengi kwa ajili ya faraja, lakini kutokana na life style yake anajikuta yuko yeye waoto na mke/mme.
Ni kweli wapo wanaokatisha tamaa; swali ni kwanini wao wamebadilika na kuwa maadui?Biblia imesema nyakati za mwisho upendo wa watu utapoa na inaonekana katika hili kuna mazingira mengi yanayoweza kuchangia hali hii. Mimi niliwahi kuwa na hali fulani ya maisha ya kawaida tu ya mkate na chai nikapambana sana na ndugu na jamaa kila aliyekuja Mkoani hapa alifikia kwangu sasa baadae mambo yaka yumba kidogo nakwambia huko kijijini hakuna ambaye hakuwa na taarifa hizo mbaya zaidi hawa ambao mimi niliwapokea na kuwapa mwongozo wa maisha wakageuka kuwa mwiba kwangu tena, sasa mazingira kama haya pia yanapunguza upendo na ukaribu kama mtu huna moyo mkuu huwezi endelea vizuri na ndugu, jamaa na marafiki.
Ndiyo ni utumwa.Kwa mazingira hayo, wengi hatufurahii maisha kwa sababu muda mwingi tuko bize kwenye kutafuta shilingi, mwingine jumatatu mpaka jumapili muda wote ni bize; katika hali hii tukisema maisha ni utumwa tutakuwa tumekosea?