Watu 'Powerful' 12 ni akina nani hadi waachiwe kuharibu Bonde la Ihefu?

Bora huyo jpm alikuwa hata anakamata japo anawaachia!

Vipi hawa jamaa zako wamemkamata nani angalau hata kwa kumtisha tu?
 
Yamefanyika hata kabla shetani Magufuli hajawa Rais na yeye alibaki akikodoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango!
Lazima mataahira akitajwa jpm mata. Kle yaanze kupwita.

Hebu tuoneshe picha za mto ruaha ukiwa umekauka enzi za jpm?
 
Labda kama umezaliwa jana , unazifahamu sababu za Channel 10 kuwa mali ya ccm ?

Halafu mbona hilo jambo halikuwa la siri ! kila mtu mwenye macho aliona
Chanel ten ilikuwa mali ya ccm toka zamani kina Rostam wakaipora enzi za kina jk,

Ili rudi ccm baada ya juhudi za kina Bashiru na Magufuli.

Sasa mambo yanarudi taratibu na safari hii mtaguswa hadi nyie vidagaa
 
Wezi wa escro walitiwa ndani mkapiga kelele eti jpm ana chuki na matajiri.

Kuwatetea wapumbavu malipo yake ni upumbavu
 
Hata kama ila safari hii wamezidi.

Bora jpm alikuwa angalau anawatisha,

Alafu mbona unaitetea sana hii awamu? Nawe una ramba asali?
 
Hata kama ila safari hii wamezidi.

Bora jpm alikuwa angalau anawatisha,

Alafu mbona unaitetea sana hii awamu? Nawe una ramba asali?
 
Hata kama ila safari hii wamezidi.

Bora jpm alikuwa angalau anawatisha,

Alafu mbona unaitetea sana hii awamu? Nawe una ramba asali?
 
Hizi familia 12 tunaomba zisishiriki mchakato wa mwaka2025.
Ni kundi hatari sana.
Lukuvi hizi familia anazifahamu na ndizo zilimchomoa Uwaziri
Ahh maskini! Kumbe Lukuvi anakufa na tai Shingoni? Sasa tayari naanza kuunganisha dots kuanzia hapo! [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…