Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

Mimi walinishangaza kitu kimoja tu.

Baada ya JPM kuwa Rais basi woote kama walivyo walihamia ccm hadi Katibu Mkuu w Chadema na akina Katambi woote.

Baadae wakaanza kumchukia mtu yeyeto anayemkosoa Rais wao.

Yaani ilikuwa kama wamelogwa vile. Kanda ya ziwa wana mambo ya ajabu sana
 
Hio Tabia ilinikera sana mwingine unakuta anashika ugali wote Kama mtu ananyonga sterling ya gari kukata Kona ugali wote unapakwa michuzi hadi kinyaa.
Mtu anaacha kula upande wake anafinya upande wako.
Dah hatari na nusu
 
Kuna mseng.e mmoja tumealikwa sehemu, wao ndiyo wageni waheshima.
Tukawekewa msosi na vibakuli vya mbuzi, kyuma mmoja akabeba kibakuli akapiga supu kisha akakirudisha watu wakaendelea kula hiyo supu, mi nilishiba ghafla
 
Hayo maisha ni ya kipumbavu sana.
Binadamu twapwaswa thamini wengine
 
Kuna mseng.e mmoja tumealikwa sehemu, wao ndiyo wageni waheshima.
Tukawekewa msosi na vibakuli vya mbuzi, kyuma mmoja akabeba kibakuli akapiga supu kisha akakirudisha watu wakaendelea kula hiyo supu, mi nilishiba ghafla
Hiyo ni kawaida sana huku usukumani.Unaweza kushinda njaa kisa huu ujinga wao.
 
Shemeji zangu wahaya ni watu wa hovyo sana,sipendi ile tabia yao ya ukabila.unakuta Mpo wote wao wanagonga kilugha tu.Shubaamiti zao sitoenda ukweni tena(Uhayani).
Bojooo
 
Ahh mkuu hata ningekuwa mim nisingekula ndo ujinga gani huo.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pana Lile kabila ugali wa moto unaliwa kwenye sufuria kubwa pamoja na sufuria ya mboga Kama camp hivi.
Ukikata tonge ukaachia kisa unaungua mwenzako anapita na tonge lako wao mikono Yao imekomaa.
Hahahh dadek
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…