Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Anapataje cheti wakati amekuwa disqualified na matokeoPOLENI SANA PRIVATE MPELEKE
ATHARI HAMNA MFANO MIMI NILISOMA UGANDA NIKAISHIA LA NNE NA NIKARUDI HAPA TZ NIKASOMA HADI CHUO NA BAADHI YA KAZI ZA SERIKALI NIMEFANYA NA CHUO MKOPO NILIPEWA
NB make sure mwanao anapata cheti Cha lasaba
Mambo yamebadilika, bila namba ya prem hufanyi FTNA, usipofanya FTNA huendi Form FourCheti ya darasa la saba ni kama cheti ya kipaimara tu.. hakina maana yoyote... Peleka mtoto private... Au nenda wizaran wanaweza kukusaidia kumpeleka shule mtoto
Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
Hao wasubiri Sept wafanye mitihani mingine wakiwa na namba MpyaWatu wengi humu wanajifanya wajuaji Sana wakati wanayoyaongea ni uongo.Siku hizi kuanzia shule ya msingi wako kwenye mfumo mmoja wa serikali.Kumhamisha mtoto shule ya private ni lazima kupita ngazi zote kwa mujibu wa serikali,unaanzia shuleni,unaenda kati hadi halimashauri.Nyie mdanganyeni wakati anaomba ushauri.Mifano mnayotoa ni ya Zamani.
Mmeshiriki kuiba mitihaniNitumie namba yako inbox. Nipo naunda group la Whatsapp la wazazi wa watoto wote ambao wamefutiwa matokeo. Tusimame pamoja na kuongea kwa sauti moja
Cku hizi kuna kureseat mtihani wa Drs la Saba, cha kufnya mtoto aendelee na form one mwakan aka reseatKwanza kumpeleka Private sio tatizo ila lazima afanye mtihani wa STD 7. Huwezi kufanya mtihani wa Form 2 kama hukufanya mtihani wa STD 7, kwakuwa wamefutiwa matokeo maana yake ni kama hajafanya mtihani sasa.
Mfumo wa sasa hivi mtoto akimaliza STD 7 kuna namba anapewa na ili asajiliwe kufanya mtihani wa Form 2 lazima namba ile utumike, kinyume chake hawezi kamwe.
Wanaokuambia mpeleke tu, wakuambie mwakani wakat anaendelea na huko Secondary basi sharti arudie mtihani wa la Saba, hakuna kona hapo.
Angalieni na mifumo, je Siku hizi Bado inaruhusu. Zamani iliwzewkana lkn sasa je... Usimshaur kitu usichokuwa na uhakika nachoPoleni sana wazazi wenzetu mlioguswa.
Pole Kwa watoto wasio na hatia.
Karma iwakute walimu wanaocheza michezo michafu ili shule zao zionekane zinafaulisha sana wazidi kupata wateja.
Mpeleke tu private anapokelewa
Umenena..kuwaweka mpaka Sept ni mbali sana na kuwafanya walipie gharama za mchezo ambao hawana hatia.Maoni yangu kwa serekali shule husika za mchezo mchafu zipigwe faini ya haja ambayo itakuwa funzo na mfano na kumbukumbu kwao,
::Serekali itajipatia kipato cha haja.
::Wavujishaji mitihani wacgunguzwe wakamatwe na hatimaye wafukuzwe haraka.
Pili wanafunzi wa hizo shule watungiwe mitihani mingine wa sit Januari mapema, najua watachelewa kwa wiki mbili au tatu, lakini watakaofaulu kwa maksi stahili waungane na wenzao mapema iwezekanavyo.
CC:-MKENDA.
MBE KANYI.
Waziri gani huyo?Kwani vyeti vya darasa la 7 vinatambulika tena kwenye kuonesha elimu au uombaji wa ajira. Nilisikia waziri alisema havitambuliki
Hawana taarifa sahihi.Danganyaneni tu hapa eti aende puraiveti, bila cheti cha la saba husajiliwi kufanya national form two na bila form two form four hutoboi I'm short atarudi kupiga hilo pepa make asitake.
Vyeti vya darasa la saba vipo Ni kucheza na watu vizuriAnapataje cheti wakati amekuwa disqualified na matokeo
Nanunua wazo hili..Pili wanafunzi wa hizo shule watungiwe mitihani mingine wa sit Januari mapema, najua watachelewa kwa wiki mbili au tatu, lakini watakaofaulu kwa maksi stahili waungane na wenzao mapema iwezekanavyo.
Shule hizo zimeshafungiwa kuwa exam centersMaoni yangu kwa serekali, shule ambazo zimehusika katika mchezo mchafu zipigwe faini ya haja ambayo itakuwa funzo na mfano na kumbukumbu kwao,
::Serekali itajipatia kipato cha haja.
::Wavujishaji mitihani wacgunguzwe wakamatwe na hatimaye wafukuzwe haraka.
Pili wanafunzi wa hizo shule watungiwe mitihani mingine wa sit Januari mapema, najua watachelewa kwa wiki mbili au tatu, lakini watakaofaulu kwa maksi stahili waungane na wenzao mapema iwezekanavyo.
CC:-MKENDA.
MBE KANYI.
Shule huwa zinafungiwa kwa kipindi fulani, afu zinafunguliwa.Hivi hawa walimu waliohusika na uovu huu nini kiwe juu yao asee!??
Yani mnavujishaje mtihani woootee..majibu yoote..wanafunzi wootee..mitihani yooteee
Acha maneno mengi, shule imefutiwa na matokeo pia hayapatikaniMtoto wako hajafutiwa matokeo mkuu,shule ndiyo imefungiwa kuwa kituo cha mtihani,matokeo atapata tu mkuu kuwa na amani,baraza halina mamlaka ya kufutia usajili mwenye mamlaka ni kamishna wa elimu pekee tu.