Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,843
- 10,321
Usijali hawa hawa vijana waliobakizaMkuu unavuka mipaka sasa .
Mimi sitojibu ila kuna vijana hapa watakuvamia ndo utajua how we are mkuu....
Onyo tu
ππwe mzeeUsijali hawa hawa vijana waliobakiza
Nguvu za kusukumia mavi chooni, ngoja niwasubiri
Pole sana mkuu,ila mi naona wakulaumiwa ni huyo mwanamke wako ambaye hajitambui na haridhiki na unachompatia.kiufupi hakuheshimu.Daaah mkuu unachofanya sio haki sio haki kabisa..
Mnafanya vijana tusikae kwa amani.
Mbona kuna wazee wenzenu wametulia hawana hayo mambo.
Acha nifoke tu mkuu maana wanasema ili usikike lazima ufoke tena kwa sauti.
Wazee wa hovyo mnazinguwa kabisa na ipo hivi dawa yenu inachemka .
Mwaka huu laizima kieleweke.
[emoji23][emoji23][emoji23]Dr Matola PhD
Mwenye phd yake. Humu ndani kuna mashangazi na watoto wa 2000 ila angalia mnachokifanya nyie mnataka ku overtake pote pote.
Maana hao mashangazi wa humu wanasema hawataki kulea wanataka wazee.
Tukienda kwa age mates wetu bado mnatubania.
Hii ni ubequal food chain ecosystem
... husisha na vifungu vya Sheria za jamhuri, ... nje ya hapo ni kubwabwaja tuu!Kichezeee huko huko kwa rika lao sisi watupe nafasi na hawa wetu
Sehemu zinatesekaje,dah intense orgasm ndo kutesa viungo?nafika orgasm huku moyo umerelax,pesa ipo shida ndogondogo hakuna.come on man!Uteseki wewe, unazitesa sehemu zako za siri.
#YNWA
Imebidi nicheke mkuu. Mimi nimeleta habari kama ilivyo watu wakatoa maoni yao kama ilivyo kwa mada nyingine. Kwahiyo hata kama ni uovu tunyamaze kwa sababu unawalenga kundi fulani?Jana ulileta Uzi wa kipuuzi wa mwanafunzi wa Mwalimu Nyerere College. Najua wewe humu JF huwa unataka kuwa na kila mwanamke. Achana na huo utoto. Mtu akimpa mzee K ni yake, unasumbuka na nini?
Acha wivu, tafuta K kwa kutotumia mgongo wa wazee. K ni zao wakikupa shukuru, wakikunyima usilaumu wazee. Una matatizo dogoImebidi nicheke mkuu. Mimi nimeleta habari kama ilivyo watu wakatoa maoni yao kama ilivyo kwa mada nyingine. Kwahiyo hata kama ni uovu tunyamaze kwa sababu unawalenga kundi fulani?
Kuhusu hayo ya kutaka kuwa na kila ke huko sipo na sipo hivyo mi ni mtu wa masikhara sana kwenye keyboard. Mengi humu naandika kuchangamsha jukwaa ila hayana uhalisia.
Kila mtu ashinde mechi zake tatizo umetafsiri habari niliyoileta kama dukuduku langu lakini sio niliileta kama navyoleta habari nyingine.
Sawa mkuu.Acha wivu, tafuta K kwa kutotumia mgongo wa wazee. K ni zao wakikupa shukuru, wakikunyima usilaumu wazee. Una matatizo dogo
Unatuchosha ujueSawa mkuu.
Nawachosha na nini tena na nimeelewa ujumbe wako mkuu?Unatuchosha ujue
Vibinti vya siku hizi vikashaona pesa akili zinahama unadhani ukivishauri vinakuelewaBinti na wewe stuka sio unagawa gawa tu ndo hapo unajikuta unapataa madude ya ajabu
Duh π€Nlisoma story kule X kwa Elon Musk , jamaa alikuwa anampoza rafiki yake anataka kujinyonga kisa kamfumania mkewe akiliwa na baba yake mzazi kabisa.
Pole yake sana mleta mada...
Kabisa lo akomae nae awale kadri awezavyoPole yake sana mleta mada...
ππππ Kazi ipo.... Vijana wa hovyo kila siku kulalamika kuhusu wazee kuhonga, ... kubalini tu pia msichana anaweza akampenda mwanaume yeyeto anayehisi atampa 'WATOTO ANAOTAKA' bila kujali umri!
... kwahiyo ninapochaguliwa mimi ninayekuzidi umri usilalamikie RUSHWA peke yake angalia na kioo!
π