Suleman Jr
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 341
- 525
Wote ni walewale tu, huyu kaachiwa zigo la miradi anaogopa kupandisha mshahara amalizie miradi wakati raia tunakufa njaa huku, aachane na hiyo miradi tule asaliSasa kama ishu ilikuwa kuongezwa mshahara hio nyongeza mlioambiwa ni 23% imewafikisha wapi? Magufuli alipunguza paye tu, huyu amelngeza elfu nane akarudishs elfu 15 kwa tozo kuna lipi la maana? Au ufahari tu kuwa mama aliongeza mshahara
Daaah inatosha sasa! 😱😥Inasemwa kuwa mzee alikusanya fedha nyingi zilizotokana na njia zote tuzijuazo na hazina ilituna sana.
Hizi ni fedha zote za ndani (kodi na ushuru), za wafadhili wa nje, ADB, WB na vyanzo vingine ambavyo bado viliendelea kuleta fedha za maendeleo
Yadaiwa kuwa baada ya mzee baba kuaga dunia hii tambarabovu, watu waliingia hazina na kila sehemu nyeti kuhakikisha wanachukua fedha zote.
Hadi leo mtindo huo ( wa kuiba fedha hazina) na sehemu zingine umeachwa uendelee na hakuna anaejali kwani kila mtu yupo "high-high" kukusanya kilicho chake.
Hivyo yanotokea leo hakuna haja ya kujifanya twashangaa sana.
Wanasiasa si watatuzi na wakombozi wa shida zozote zile kwa wananchi bali ni binadamu kama wewe na mimi hivyo nao wana matamanio ya kuwa watu katika watu, matamanio ya kuwa matajiri na wenye fedha na pia matamanio ya kuishi maisha mazuri.
Wanasiasa kwa asili si viongozi wazuri isipokuwa kama upeo wao ni wajuu sasa ndipo wataishia kuwa viongozi maarufu lakini bila kutatua shida za wanaowaongoza, na hufanya machache sana makubwa. Hayati Mwalimu Nyerere pamoja na makubwa mchache aloyafanya ametuwezesha watanzania wote kuzungumza kiswahili kama lugha yetu ya taifa.
Ndo maana siasa ni fani ambayo mtu yoyote aweza kuingia awe profesa, mwalimu, mchungaji na kadhalika lakini hawaji kuwa viongozi ili kutatua shida za wananchi wanowachagua, bali waja kujitatulia matatizo yao kwanza, ndio maana ya kuambiwa wahakikishe "kila mtu ala kwa urefu wa kamba yake".
Kwa kuwa hawa tunowaita viongozi wana ajenda zao za siri ni rahisi kuona wanashindwa kukusanya kozi ipasanyo kwa kushirikiana na wafanyabiashara, kuwabinya wananchi wa chini kwa kuwabambikizia tozo za kila aina, kushindwa kusimamia uchumi wa nchi ipasanyo, kushindwa kudhibiti mfumuko wa bei, kushindwa kutagtua tatizo la ajira kwa kubuni njia za kuwawezesha wananchi kujiendesha kimaisha kwa biashara zinowafaidia wao, na kushindwa kubuni mikakati ya kuwanyanyua wananchi kiuchumi.
Serikali yoyote inoshindwa kukusanya kodi ipasanyo nikimaanisha kodi ya maendeleo na kodi ya viwanja, ukiachilia mbali mapato ya halmashauri na tozo zinojulikana kama uingizaji magari nchini, hiyo si serikali bali ni genge la wapigaji.
Si kila ajiitae mwanasiasa ni kiongozi na si kila anekuwa kiongozi ni lazima awe mwanasiasa.
Mmiliki ni Ester ambaye ni mke wakeHiyo kampuni mmiliki halisi ni Nañi? Na kama ni Mwigulu Nchemba ameikabidhi Kwa board of trustee waiendeshe na yeye kukaa pembeni?
Pili bill of loading ni dollar ngapi na calculation ya ushuru ni shilling ngapi? Lete details.
Huyu nadhani ni mbovu zaidi, kwanini Zanzibar hakuna hizi tozo za ajabu ajabu?Wote ni walewale tu, huyu kaachiwa zigo la miradi anaogopa kupandisha mshahara amalizie miradi wakati raia tunakufa njaa huku, aachane na hiyo miradi tule asali
Unataka kusema yutong 30 NI hela ya mboga?[emoji850][emoji850]
Funguka mkuu,muhudumu leta Kama tulivyo,story IENDELEE
Nahisi huelewa wako ni mdogo sana!Sikushangai hata kidogo kwani wewe ni mmoja wa mamilioni ya vijana wasiojitambua na chawa wasiojua kuwa nchi hii ni Yao kwani wao ndio watakaoishi kesho!
Mmebaki kukodoa macho badala ya kuipihania kesho yenu!
2300 ya kwenda wapi hayo malori?Kwa wenye nazo ni hela ndogo sana.
Sasa mtu kama gsm juzi hapa kashusha ma lori 2300 hayo ni mapya tuu ya zamani yanakaribibia elfu 3 na kuendelea sasa mtu kama huyo utasema ni mwenzetu?
Kwani We ni konda wa mabus yake unahofia ajiraNahisi huelewa wako ni mdogo sana!
Huwezi kuelewa nilichomaanisha kwa kundika vile! Na hutaweza,Ila akisoma Mwigulu atanielewa nini namaanisha,
By the way mimi sio chawa na sijawahi kuwa na sio kijana mpuuzi kama wewe, naweza kuwa Baba yako.
Unatafuta kazi ya ukonda?Kwani We ni konda wa mabus yake unahofia ajira
Znz ni kiini macho mzee, ile ni nchi inayojitegemea kwa mambo mengi sana sio tz kamili ile, bora wajitenge na sisi tu.Huyu nadhani ni mbovu zaidi, kwanini Zanzibar hakuna hizi tozo za ajabu ajabu?
Huyu waziri ipo siku atajuta ,acha ayaagize maana yatakua yanapiga mieleka mpaka atakoma,lakini pale hawezi kuwa peke yake ,wapo wengine walio nyuma yake ,Nawasalimu Wakuu,
Nchi inaenda pabaya Wakuu, TISS msaidieni mama..,. Hivi inakuwaje Waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?
Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?
Kazi kwenu!.
KuduMbona hela ndogo iyo? Dollar million nne tu. Pagani Zonda yangu hapo chini used ni 4.5 million USD ikiwa mpya 8-10 million USD.View attachment 2339242
Ngoja na Mimi nizilete kama 200 hizo Yutong heshima iwepo.
Cc Robot la Matope
Za sensa na tozo2OO,OOO,OOO X 6O = 12 BIllions katoa wapi?
Aiseeee !!!Hichi kiburi dereva amekitoa wap?,hapa ndio nazid kuamini maneno ya walimwenguView attachment 2339606