Waziri Gwajima atangaza kumchukulia hatua za kisheria Masha Love na wanaochochea kuharibu maadili

Binafsi mimi hawa Ustawi niliwauliza hili Swali

Na mpaka sasa zaidi ya wiki sijapatiwa jibu

Hayo mengine nadhani Serikali na Sheria zetu zinaweza kuyahimili, (na wengine wanaweza kusema kwenda sana huko ni kuwa na a Police State)
 

IQ yako iko chini sana..!!
 
Waziri mimi nakuunga mkono,hawa wasanii wapuuzi wengi sana isiishie kwa huyo tu nenda mpaka kwa wale wanaoshabikia ushoga mfano WCB wana mashoga wengi mule kwa kigezo cha ubunifu.

Uchafu wanaofanya unaharibu sana kizazi kuonekana ushoga ni kitu cha kawaida au ndo sanaa,mfikishie na waziri wa sanaa haya.
 
Mkuu ukimalizana na Masha Love mtafute na Zuchu mwambie zile tabia zake anazozifanyaga kila anapokua jukwaani apunguze au aache maana anatuharibia watoto huku mikoani
 
Inshort wanaojiita wasanii sijui macelebrity wanaharibu jamii ya watanzania hasa watoto kimaadili...wapewe onyo kali...
Wasije wakanya nchi ikateketezwa kama sodoma na gomorah...
 
Dunia kwa Sasa ni kama Kijiji,kuna Mambo tunafanya huku uraiani hatujui kuwa ni kosa, Mfano:Mtu mzima anamtuma mtoto kununua sigara na pombe,Kisa ni mtoto wake,ni mengi kubeba mnyama kichwa chini miguu juu,nk .
 
Hivi Masha kafanyaje?? Nilikua nimefungwa ndo nimeachiwa huru leo...
"alisikika kijana mmoja wa hovyo huko instagram😄😄😄"
Haalafu huwezi kuamini! Binafsi nimesoma kuanzia page ya 1-3! Sijaelewa huyo Mashalove ni nani, na amefanya nini kiasi cha mtoa mda kumjia juu Mh. Waziri! Na kila anayeonekana kuwa upande wa Waziri kuonekana ni CHAWA!!

Nadhani kama kuna mtu mwenye ABC ya huu mtafaruku, angetuwekea humu jukwaani sisi tusio na access ya mitandao mingine nje ya jamii forums!
 
Mh. , shida ni kwamba matukio ni yaleyale kila wakati. Onyo kwao lishakuwa sugu, hamna budi kutazama njia nyingine. Kwa nini wafanye vitu ambavyo wanajua kabisa sio sahihi? Nanyi mtakuwa na kazi hiyo hiyo ya kuonya kila wakati? Dkt. Gwajima D
 
Unachonifurahisha huwa haujui kumvungia mtu unampa kavu lake live.
 
Aliewekwa maiki huyu wa pembeni yake michezo yake ya jukwaani inatuharibia watoto huku mikoani
 
Tupo pamoja na wewe mhe. Gwajima Maadili yanavunjwa kwa speed ya radi
Huyo masha mchukulie hatua kabisa.

Pia kuna nyimbo za ovyo sana
Kama
Mtoto kautaka na nyingine nyingi ni matusi matupu wanaimba bila muktadha
 
Kwakweli hata mm kwa hili limenipita kushoto sijapata udaku huu 😃😃😃
 
Bila kumsahau Afande aliyeamuru Binti wa Yombo Dovya abakwe. Fuatilia hao kwanza ambao wengi tunashanga mbinu zenu za kupindisha sheria.. Mko double standard sana Mungu anawaona!!!
Kila kiongozi anayo mipaka yake ya wizara yake, hilo hebu toa ombi lako kule wizara ya Katiba na Sheria tafadhali. Tuache kuwa tunapindisha utaratibu
 
Ni kweli kabisa mkuu,nimekumbushia hoja hii Dkt. Gwajima D kaniletea chawa wake wote na yeye mwenyewe kunishambulia vibaya sana kama vile siruhisiwi kutoa hoja humu jukwaani.
Sishambuliagi mtu mimi, Bali huwa naelimisha watu utaratibu na kuwaambia ukweli wa wazi wazi. Ila kwa Sababu baadhi kama wewe hivi labda wamezoea kuambiwa mambo kwenye braketi hivi, ndiyo maana labda wanaona wanashambuliwa. Mimi Mwalimu mzuri sana kwanza nipongeze tafadhali 🥳
 
Dabiliyusiibi na ushoga pdidy papa grammy awards aaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…