Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Binafsi mimi hawa Ustawi niliwauliza hili Swali
www.jamiiforums.com
Na mpaka sasa zaidi ya wiki sijapatiwa jibu
Hayo mengine nadhani Serikali na Sheria zetu zinaweza kuyahimili, (na wengine wanaweza kusema kwenda sana huko ni kuwa na a Police State)
Ustawi wa Jamii: Tunajiandaa Vipi na Kuzuia Wimbi la Wazee Ombaomba wa Kesho ?
Wahenga walisea Mchumia Juani Hulia Kivulini; Ila nadhani hawaku-consider kama cha kuchuma hakipo inakuwaje...; Baba wa Taifa alisema katika Hotuba ya TANU (ambayo ndio Baba wa huyu CCM anayetawala Leo) CHAMA CHETU KINASEMA - mtu mwenye Afya ambaye tumeshindwa kumpa njia halali ya kujipatia...
Na mpaka sasa zaidi ya wiki sijapatiwa jibu
Hayo mengine nadhani Serikali na Sheria zetu zinaweza kuyahimili, (na wengine wanaweza kusema kwenda sana huko ni kuwa na a Police State)