Nashukuru na wewe umeliona hili juu ya huyu Robert Heriel Mtibeli . Mengine asome tu naye ajifunze. Siyo lazima ku comment kila kituHeriel ana andika vizuri sana fasihi...lakini acha ujuaji kwenye asiyoyajua!
Nashukuru na wewe umeliona hili juu ya huyu Robert Heriel Mtibeli . Mengine asome tu naye ajifunze. Siyo lazima ku comment kila kitu
Mkuu nakukubali sana na post zako.Mkuu, niambie kosa la huyo Dada. Hao watoto wamejieleza wazi sababu za wao kuona wanachukiwa na Baba zao.
Au kwa mtazamo wako ulitaka aseme na ambao wanachukiwa na mama zao watoke mbele?
Lengo hasa ya huyo dada kuwaambia watoto hivo ni nini?Mkuu, niambie kosa la huyo Dada. Hao watoto wamejieleza wazi sababu za wao kuona wanachukiwa na Baba zao.
Au kwa mtazamo wako ulitaka aseme na ambao wanachukiwa na mama zao watoke mbele?
Mkuu nakukubali sana na post zako.
Vipi unamtetea huyo demu kwa alivyowatoa hao madogo kueleza hisia zao?
Lengo hasa ya huyo dada kuwaambia watoto hivo ni nini?
Kwanza nakushukuru kwa Sala na maombi yako 🙏🏽.Umejiunganisha na uwepo wa MUNGU kweli au ni hisia ndio zimekupelekea uongee hivyo mkuu?
Mana MUNGU hachelewi wala hawai kutupiga matukio sisi viumbe wake ili kutupima imani zetu..Haswa nyinyi Mama zetu anawapiga matukio sana ili kupima imani zenu.
MUNGU akuongoze kweli kweli na asikutoe kwenye reli yako.
Hapo sikunpangia MUNGU kazi ila nimemuomba akuongoze na kizazi chako.
Je ilikuwa na muhimu kuchukuwa video hivyo?Simtetei kwa sababu hajafanya kosa lolote Mkuu.
Nia yake ndio ninaiangalia
Je ilikuwa na muhimu kuchukuwa video hivyo?
vipi tukija katika uvaaji wake hukuona taa nyekundu?
Lakini siwezi kuhoji sana maana huwenda kuna mkono wa mshika dau.
Basi yule dada alitumia HISIA kufanya vile na sio AKILI.Sisi wengine tunaangalia Nia/dhamiri.
Nitasoma, Niko mkutano, nita respond tu, ahsante Sana.Asante, tayari mheshimiwa
[emoji28][emoji28][emoji28] yaani mm naona wakati nasoma PCB A level nililala kuliko huku kwenye uwanja wa jamii. Yaani lazima uongezee tu nguvu maana unaguswa na mambo na mimi sipendagi jambo lichelewe chelewe wakati kuna uwezekano wa kuongeza kasi....Mhe hulali?
Nawe huwa unakesha kama miye ninayebukua mastaz yangu?
Btw good morning [emoji274]
Tuliosomea Pyongyang tumekuelewa vizuri sana. Kifupi umesema huyo bi Dada kakurupuka na kakosea kuingilia kazi za watu. Asante Dr Gwaji girl.Kila huduma ina mwongozo wake na hizi huduma za ustawi nazo ni taaluma. Nia njema isipoenda na itifaki yake, inaweza kugeuka changamoto halafu tena tukaja kuulizana maswali.
Tujengane tu vizuri Ili umoja wetu uwe na tija nzuri kabisa
Sijarejea BASATA kwamba yeye anahusika huko..hapana..nilikuwa najibu kuhusu hoja nyingine iliyotolewa kuwa kwenye vyombo vya habari..... Kunarushwa mambo fulani... Ndiyo nikatoa kinachoendelea. Tafadhali soma vzr utaona connection. ShukraniMh Waziri, hili la Lilian halihitaji basata haimbi bongo flever wala pale alikuwa hanengui ni mdangaji tu wamitandaoni, sheria zipo na ziko wazi hatua zichukuliwe kwa mujibu wa sheria. Zipo shule kitendo cha mzazi kupiga selfie shuleni mtoto anaweza fukuzwa shule. Sheria faragha za watoto ipo.
Maoni yamepokelewa, shukraniAbsolutly i salute now you are talking as a professional Doctor, kwa taaluma yako unajua hatua za makuzi ya watoto, huyu Lilian ni ignorant kwa kile alichokuwa akifanya.
Mh, napendekeza ukae na waziri wa elimu muweke mwongozo wa maudhui ya watoto mashuleni, uwepo uratibu wa shughuli kama hizi na kama kuna haja ya kuwa puplic basi serikali ihusishwe na ibariki
Haya maelekezo kashapewa tayari katika hatua za awali. Moyo wake tu ndiyo tunausubiri. Mengine yanaendelea sambamba na kujumuisha maoni yenu wote humu. Ndiyo maana napita kusoma Kila mchangiaji kasemaje. Kwangu mm hii ni teleconference ya kijamii kuona jamii inasemaje kwenye hizi changamoto mbalimbali za kijamii.Mhe. Kuomba radhi iwe ni miongoni mwa hatua zitakazochukuliwa, muhusika aombe radhi hadharani kama alivyodhalilisha hao watoto pamoja na familia zao kupitia mitandao aombe radhi pia na ikiwezekana arudi shuleni kuomba radhi na ajutie kosa lake.
Alichokifanya kitawaathiri hao watoto hapo shuleni.
Shukrani nimepokeaKudos Mheshimiwa, suala la wazazi kutelekeza watoto ni suala moja, Alilolifanya Lilian ni suala lingine kabisa ambalo ndilo lengo la hii thread.
Umeelewa kwa usahihi mheshimiwa, na umechukua hatua sahihi.
By the way, kuna miongozo ya kufanya kazi na watoto (working with children), ili kutokusababisha Vulnerability na harm. Hili litiliwe mkazo, sio kila mtu anapaswa kupewa access na watoto tena wa sensitive issues kama hizi.
Mnafiki sana huyu LilianAnawauliza watoto wanaochukiwa na baba zao. Je amewaandaa kisaikolojia? Mbona yaonekans kama ni udhalilishaji kwa watoto na wazazi wao. Angalia clip hapa
Hiyo counselling ulijifunzia wapi?SIONI KOSA LA LILIAN NACHOONA NI ANATIBU
Ubarikiwe,Mh. Dr Gwajima D, kwa jinsi unavyoijali kazi yako, nimekuvulia kofia[emoji122][emoji122][emoji122][emoji120]
Ninakufananisha na kuku wa kienyeji anayeyaatamia mayai yake kwa ajili ya kuvitotoa vifaranga. Huwa wako tayari kushinda ndani bila kula ili tu kuhakikisha mayai wanayoyaatamia hayahatiribiki kwa kupigwa na ubaridi.
Mchango wako wa mwisho kwenye huu uzi uliutoa saa Jana saa 2237, na huu wa sasa (leo) ni wa saa 0447.
Inafahamika kuwa mbali na kuwa Kiongozi wa Serikali, wewe pia ni mke na mama! Kwa hiyo hata ukitoka kazini bado una majukumu ya kifamilia n.k.
Ndiyo maana najiuliza, "huyu mama anapata muda wa kutosha kupumzika?"
Inawezekana alilala kwenye saa Sita au Saba za Usiku, lakini bado amemudu kuamka mapema na kuanza majukumu yake hata kabla hajaenda ofisini!
Dr, hakika unanihamasisha sana kwa uchapaji kazi wako! Hongera sana mama[emoji120][emoji120][emoji120]