Ila mh waziri sikuhizi umepoa sana hii habari ungeileta wewe kwenye media ungeileta in a very professional way mbona tungetafutana mwezi mzimaUbarikiwe, tumshukuru Mungu, tuombeane tupate Rehema zake kwa ushirikiano zaidi, ushirika wa Rehema zake [emoji1431][emoji1666][emoji1241]
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Nimejikuta nacheka tu aisee!Kanyaga shingo kabisa bado anapumua huyo
Kuna wazazi sahvi wanataka kuwalea watoto wanavyotaka watoto zaoNgoja nikujibu kistaarabu waziri kashusha munkari wangu, kuna wazazi jobless walishafukuzwa kazi mtoto hajui kama babake hana kipato, anaona baba hawajibiki kumbe mzee pesa hakuna,
Kuna madai ya kitoto huwa tunayakataa tu mfano mtoto anadai apewe iphone ajiunge tiktok, mie kwangu hiyo ni dhambi hatamamake hawezi thubutu kuomba achilia mtoto.
Kuhusu matumizi ya condom at age of 50 umeshakunywa kvant hainaga nafasi, hebu nikujibu hivyo kwa leo
Relationship ya binti na babake mkuu ukilegeza utakunywa breakfast na boyfriend wa mwanao sebuleni, ukiwachekea watakuomba mirathi bado unapumua
Ushirikishaji jamii ni muhimu. Mm nitapita jamii itabaki, nao washike wajibu wao kwa uendelevu wao kwenye Ustawi na Maendeleo ya Jamii. Mm Niko mkutano Mumbai, India na bado nimeona nikainuka kusukuma ajenda. Nimepoa hapo kweli?[emoji9]Ila mh waziri sikuhizi umepoa sana hii habari ungeileta wewe kwenye media ungeileta in a very professional way mbona tungetafutana mwezi mzima
Kabisa labda kma yuko kwenye missionKilichofanyika sio kukosea ni upumbavu tu, kwanza Lilian sio mwalimu wa hiyo shule kilichompeleka pale sijui ni nini? Huwezi hoji under age na kuwepa information public bila ridhaa ya mazizi, tuseme mama zao hao watoto ndo walimtuma? Anajua nini kimefuatia kwenye familia baada ya taarifa kuzagaa mitandaoni? Ifike sehemu watanzania akili zitukae sawa
Ustafute umaarufu kwa mambo ambayo wewe ni mbumbumbu. Bakia kwenye fasishi zako tu zisizo na kichwa wala miguu.Ni sahihi kabisa.
Mwanadada hajakosea hata kidogo.
Tatizo umerukia post... hiyo post nimejibu kumjibu niliyemquote. Kaangalie alichoandika yeye then compare na nilichojibu.Ngoja nikujibu kistaarabu waziri kashusha munkari wangu, kuna wazazi jobless walishafukuzwa kazi mtoto hajui kama babake hana kipato, anaona baba hawajibiki kumbe mzee pesa hakuna,
Kuna madai ya kitoto huwa tunayakataa tu mfano mtoto anadai apewe iphone ajiunge tiktok, mie kwangu hiyo ni dhambi hatamamake hawezi thubutu kuomba achilia mtoto.
Kuhusu matumizi ya condom at age of 50 umeshakunywa kvant hainaga nafasi, hebu nikujibu hivyo kwa leo
Relationship ya binti na babake mkuu ukilegeza utakunywa breakfast na boyfriend wa mwanao sebuleni, ukiwachekea watakuomba mirathi bado unapumua
SawaMtapata kabisa. Na hadi sasa kamishna wa ustawi ameshawasiliana na mhusika, katika hatua za awali kasikilizwa kapewa maelekezo. Na hatua zingine zinaendelea. Hili jambo linachukuliwa kwa uzito wote. Ahsante Sana
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Hakuna cha mission anatafuta publicity tu ngoja tumpeleke kisutu ndo apate vizuri umaarufuKabisa labda kma yuko kwenye mission
Alimaanisha zile amsha zako enzi za mzee,mambo siteUshirikishaji jamii ni muhimu. Mm nitapita jamii itabaki, nao washike wajibu wao kwa uendelevu wao kwenye Ustawi na Maendeleo ya Jamii. Mm Niko mkutano Mumbai, India na bado nimeona nikainuka kusukuma ajenda. Nimepoa hapo kweli?[emoji9]
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Sisi wa JF tumekusoma na kukuelewa. Kwa kuwa clip hii imekwenda kwenye platforms nyingi za social media kama WhatsApp na Instagram, ni vizuri sasa Wizara yako ikatoa press release kuonyesha msimamo wa Serikali kwenye mambo haya na kukemea ufedhuli huu.Ushirikishaji jamii ni muhimu. Mm nitapita jamii itabaki, nao washike wajibu wao kwa uendelevu wao kwenye Ustawi na Maendeleo ya Jamii. Mm Niko mkutano Mumbai, India na bado nimeona nikainuka kusukuma ajenda. Nimepoa hapo kweli?[emoji9]
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
sahihi kabisa mkuuSisi wa JF tumekusoma na kukuelewa. Kwa kuwa clip hii imekwenda kwenye platforms nyingi za social media kama WhatsApp na Instagram, ni vizuri sasa Wizara yako ikatoa press release kuonyesha msimamo wa Serikali kwenye mambo haya na kukemea ufedhuli huu.
Nawasilisha
Kabisa, abadishe maofisa habari alionao wamezubaa, ona waziri yuko india kutuwakilisha wananchi hatujui, pale uvccm wapo vijana wanafanyakazi nzuri hebu badili team yako.Alimaanisha zile amsha zako enzi za mzee,mambo site
Sikuhizi umepoa
Au unakwenda na upepo wa watawala?
Kuna baadhi ya wamama wanapendaUstafute umaarufu kwa mambo ambayo wewe ni mbumbumbu. Bakia kwenye fasishi zako tu zisizo na kichwa wala miguu.
Hivi ni watoto wangapi wanajuwa ni nani analipa ada ya shule? Mimi binafsi niko na mke wangu miaka zaidi ya 30. Suala la ada za shule huwa mke wangu ananipa summary ya mahitaji ya watoto na ninamkabidhi. Na yeye ndiyo ana deal na kuwalipia.
Sasa Lillian Mwasha akikutana na mwanangu akamuuliza swali kama hilo si atajuwa kuwa na mimi nimemtlekeza mwanangu!!
Hebu Robert Heriel Mtibeli soma majibu ya waziri kwenye comments mbalimbali ukiwa na akili yenye utulivu, utaelewa kosa la Lillian Mwasha
Sisi tunajadili malezi ya watoto mashuleni wewe unaleta habari za matumizi ya kondom, sasa tukuambie wazee condom haivaliki the moment inafika mwisho jogoo keshawikaTatizo umerukia post... hiyo post nimejibu kumjibu niliyemquote. Kaangalie alichoandika yeye then compare na nilichojibu.
Cha ziada tu kama at 50 bado unakula wanawake hovyo hovyo ambao huna malengo nao basi una matatizo makubwa
Naona umeruka na mimi mazima.....Acha vijisababu
No 1 na 2 vaa condom... kwanini ufanye peku na mtu huna mpango? Take responsibility vaa condom hutokaa uache mbegu usipotarajia
No 3 kama una nia sheria zipo wazi, kuchunwa ni kuamua, toa child support kulingana na kipato chako na mtu kama hataki kuna njia za kisheria za kufata KAMA UNA NIA
inshort umetoa excuses za kitoto tu, VAENI CONDON MKIWA MNAKULANA NA WATU MSIO NA MALENGO NAO, otherwise ni kutafuta kutesa watoto duniani hapa
Yaani umemaliza stress zangu zote, hili mungu halimhusu ahangaike nalo mwenyeweAmemwachia Mungu tena ndio awasaidie??Awasaidie Yeye mwenyewe si ndio kawatafuta,,Mungu anaonewa Sana!!