Waziri Innocent Bashungwa awakabidhi Wakuu wa Majeshi Wastaafu Land Cruiser LC300 mpya

Njia rahisi kabisa ya kuiba mali ya uma ni kupitia manunuzi !!
Hayo madude ni latest na ghali na ikitokea tukaambiwa bei yake humu wote tutanuna.
 
Sema sijui kwanini wabongo mnakomaa kwamba CDF ni mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, CDF ni mkuu wa majeshi ya ulinzi tu wakimaanisha zile kamandi za JWTZ (Airforce, Navy, Land, JKT, MMJ) lakini majeshi ya usalama (Polisi, Uhamiaji, Magereza na Zimamoto) yana wakuu wao na hakuna anayewajibika kwa mwingine, ndio maana hivyo vyombo viko chini ya wizara mbili tofauti ila kiitifaki ni kwamba tu ukiwaweka pamoja CDF ndio mkubwa sababu JWTZ ndio jeshi senior
 
Ni kuanzia Cheo cha Kanali
 
Majenerali wanakula mema ya nchi bwana dah 🤣 hapo service juu ya serikali, mafuta juu ya serikali na ulinzi wa kutosha 😀
 
Hapana gari ni mali yao na ukomo wa kupewa gari huisha pale muhusika anapofariki na ndio maana ina umiliki binafsi, wanufaika wa magari hayo kwa mujibu wa sheria ni jaji mkuu, spika wastaafu, mawaziri wakuu wastaafu, wakurugenzi wa tiss, na kadhalika
Sasa kwa mfano lile alilopewa kabla ya jipya anarudisha baada ya kupewa jipya au linaendelea kuwa lake.
 
Service force, falsafa ya jeshi na polisi ni jeshi ni mbwa anaehakikisha ulinzi nje ya nyumba usiku kucha na adui asiingie ndani na polisi ni paka anaelinda ndani ya nyumba hivo kimsingi mbwa humlinda pia paka hivo jeshi huwalinda pia polisi
Hapa hatupo kijiweni ambapo kila mjumbe anachangia alijualo, mambo mengine yapo kimiongozo hayahitaji akili za kujiongeza CDF ni mkuu wa JWTZ jeshi moja lenye kamandi zake ambazo ni majeshi yanajitegemea. Mkuu wa wote ni CIC...wanakua na chombo chao ambacho mara nyingi sio zote CDF anakuwa mwenyekiti tena mwenyekiti sio kwa mamlaka bali kwa uratibu, msingi wa vikosi na majeshi mengine ni JWZT...chombo chao hiki kipo chini ya kuu taifa ambacho CIC ndo manyota wake
 
Stupid baboon, police ni DEFENSIVE FORCE?
kama hadi kwa umri huo hujajua kuwa defence na security ni components muhimu sana kwny Majeshi na ni inseparable mie nitakusaidia vipi ?

tofauti ndogo na pekee ni kwny law enforcement function kwny jeshi la Polisi kipengele ambacho kinawapa majukumu zaid kisheria kwny kusimamia utii wa sheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…