Umemsikia bwashee Mbowe lakini?!?Wewe tatizo ni mpuuzi sana, hujui unachopigania. Ni sawa na bendera fuata upepo tu.
Hahahahaha.. mmepatwa!!
mbowe atupe ukweli chadema imesimamisha wagombea wangapi?
Mbowe amemu-outsmart Jafo na CCM mmepata aibu ya karne.mbowe atupe ukweli chadema imesimamisha wagombea wangapi?
Hahaha kwani shule alikuwa anayosoma haya yanayotokea leo?!Jafo na magufuli wake wanatapatapa tu.mimi huwa najiuliza kama magufuli pamoja na kwenda shule bado anatabia hizi zisizo za kistaarabu katika dunia ya watu waliostarabika,je asingekwenda shule angekuwaje ? Si ndo angekuwa kiongozi wa mashetani hapa duniani?
Uwezo na akili za ndugu Jafo....unazionaje au unamuelewaje?Kwenye huu uchaguzi nilichogundua ni kuwa Chama kinachotaka kuwa mbadala wa CCM viongozi wake hawana hata uwezo wa kujaza fomu.
Mimi nimemuuliza mleta uzi nadhani anatulisha matango pori!Ndo uelewe tunaposema huu uchafuzi haupaswi kinyamaziwa?
Kuwaita wapumbavu alianza mkapaCCM watapinga na ili pia. Tokea Magu awaite wana CCM wapumbavu wamezidisha upumbavu sasa.
Mkuu lengo kubwa la shule si kupata A ama first class bali behavior change.sasa huyu pamoja na kuwa na phD still anabehave kama bushman sasa asingeenda shule ingekuwaje?Hahaha kwani shule alikuwa anayosoma haya yanayotokea leo?!
Yule mwalimu, wangemrudisha akafundishe jama taaluma in matter.
Chaguzi zijazo au uchaguzi huu wa tarehe 24 Novemba 2019?? Zimebaki siku ngapi?? Wazo lako zuri sana ila muda hauko vizuri upande wa Jafo. Kuhusu mgombea binafsi tungetamani ila labda uchaguzi mkuu 2020 kuondoa mchanganyiko huu. Hata kama Jafo akiamua kwa nguvu zake kuweka majina hayo yaliyokuwa yameenguliwa nadhani atakuwa ana-force matumizi ya vyama vyao kwani vyama vishajiondoa. Kama chama kimejiengua, inamaana hakina mgombea. Lakini tumeona wakihalalisha wabunge kuendelea kuingia bungeni bila chama. Hao nao watagombea bila hiari ya chama. Mbowe anasema "Kukibaka chama" mchana peupeeeeNami namshauri, akashauriane na mwanasheria mkuu na waziri wa sheria na katiba, wapeleke bungeni mabadiriko ya katiba kuruhusu wagombea huru.
Matamanio yake ni mazuri lakini chama chake hakiwezi kuruhusu na hakiwezi kukubaliana naye.
Wenzangu mnasemaje, tumuunge mkono Jafo, tuwe na wagombea huru, au tukubali vyama ujitoe na wagombea wao?!
Mwenyekiti wetu kasema hatutashiriki .Waziri wa Tamisemi, Seleman Jafo amesema hakuna atakayejitoa uchaguzi wa Serikali za Mitaa na wote waliochukua fomu na kurejesha watashiriki uchaguzi huo kasoro wenye makosa ya uraia, kutojiandikisha katika mtaa husika, kujiandikisha mara mbili, kutodhaminiwa na chama chake #MwananchiUpdates
Uwezo na akili za ndugu Jafo....unazionaje au unamuelewaje?
Utakavyoelewa huenda mnafana akili....Hongera.