Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

Nimeipenda hii kauli ya Msimamizi mkuu wa uchaguzi wa serikali za mitaa Waziri Jaffo.

" Hakuna Kukimbiana Lazima Kieleweke"

Chadema msiweke mpira kwapani rudini uwanjani refa anawaita.

Maendeleo hayana vyama!

cc: Daudi Mchambuzi
Mpira anao Jafo yeye mchezaji refa na msimamizi. Tatizo anachezesha timu moja baada ya kuitoa timu pinzani. Pia hajui kuwa mpira unachezeka kwa utaratibu ambao timu zina wachezaji siyo timu inaingia uwanjani peke yake. Refa ana uzoefu wa kutosha kuchezesha timu yo yote. Uwanja una viwango.
Bahati mbaya ya Jafo hayajui hayo yote. Hata benchi lake la ufundi kajaza akina Chakubanfa.
Halafu mwenye timu kifafa kinamsumbua mbona mshangao na majanga ya aina yake?
 
Yaaani pale singida kuwa nitahakikisha nafuta upinzani ndo ttzo lilipoanzia huyu kingwendulile anatumika tuuu kama kondo.ooooom
 
Anatakiwa ajiuzulu. Tayari maji yanachemka yanasubiria mbuzi akatwe kichwa tupate supu.
 
Jiandaeni kwa kampeni

Msije mkaanza kulalamika kile kishindo
 
Hata Seif alidhani ameshiliklia mpini na Shein ameshika Makali Matokeo yake yako wazi.
Kila siku alikua anabaki anatuahidi tu Karibia anakabidhiwa serikali akizunguka karibu dunia nzima kutafuta usaidizi.
Tumwachie Mungu maana ukisusa Huku Afrika watu wanakula hadi sahani yenyewe.
 
Na huyo Jafo eti ndiye mtu anayeonekana ana afadhali katika utawala huu!
 
kuna game zingine refarii unashindwa kuwa neutro Kama game ya Leo MAN CITY VS LIVERPOOL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…