Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Huyu jamaa anahitaji msaada wanamchanganyaNi kweli mkuu
Wewe akili yako imejikita kwenye upinzani hata ugongewe mkeo au demu wako utasema sababu ni upinzani. Jiangalie sana wengine hatuna vyama kenge wewe.Wapinzani Ndio wanajitoa ufahamu ili kukimbia Uchaguzi
UCHAGUZI UMEHARIBIWA NA WATENDAJI WA SERIKALI, NA NADHANI HUENDA YALIKUWA MAAGIZO TOKA JUU
Leo Jafo kwenye taarifa yake kabadirika tena.
Karudia kubariki wago. bea wa Chadema na ACT kuondolewa kwenye kinyang'anyiro
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] zimemruka baada ya kugundua hana mandate ya kile alichokitangaza janaLeo Jafo kwenye taarifa yake kabadirika tena.
Karudia kubariki wago. bea wa Chadema na ACT kuondolewa kwenye kinyang'anyiro
Akili yako ina akili kweli....?Wapinzani Ndio wanajitoa ufahamu ili kukimbia Uchaguzi
Jiwe laLumumba litakua limepiga simuNimemsikiliza vizuri sana Jana jumapili alipofanya '"press" conference na maagizo au maelekezo aliyoyatoa kuhusu sakata la wagombea kuenguliwa katika mchakato wa kuwapata viongozi wa serikali za mitaa. Rejea maelekezo haya.View attachment 1260832
Ghafla leo tena namsikia akitoa maelekezo mapya kwa wasimamizi wa uchaguzi huko mawilayani.kiukweli naona kama huyu mtu anachanganyikiwa hebu mlio karibu nae jaribuni kukaa nae nahisi kuna kitu kinamtesa katika roho/nafsi yake asije akachukua maamuzi magumu.
Ni hayo tuu..