Waziri Jafo sasa njia nyeupe kwenda Ikulu 2025


Wakimsimamisha Jafo litakuwa anguko la CCM
 
Hili swala si Mara ya kwanza kuona ukiliweka humu jukwaani.Nasikitika kwakua hautakuwa shahidi wa hilo swala, sijajua kama kuna uwezekano wowote wa kulishuhudia huko utakako kuwa.
Unasemaje kuhusu comment yako? Kumbe jamaa alikomaa nalo sana. Basi kuna watu sio wa kawaida humu. Hatari sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…