Hahaha. Tatizo mnamsahau sana Mungu"Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais."
Hahah wakati Magu mwenyewe alisema isingekua ni mambo ya Gender ningemchagua Mwinyi awe ndio makamu wangu wa Rais.
Sasa leo ndio aje kumpa urais huyo Mama? NEVER.
Pole sana. Mungu yupo kazini jamaniHakutakuwa na raisi mwanamke....
hiyo habari ya kufikirika....
[emoji38][emoji38][emoji38]Hawajuhi hata kama kuna kifo mbwa hawa.
Jaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
Mkuu, leo ndiyo nimeamini kuwa kweli humu JF kuna Great Thinkers wa hatariPole sana. Mungu yupo kazini jamani
Nimeshangaa sana hata mimi kwakweli.Mkuu, leo ndiyo nimeamini kuwa kweli humu JF kuna Great Thinkers wa hatari
Jaffo haiwezekani,halafu ikitokea Magufuli haongezi muda,ni sure Rais ajae ni Majaliwa au Mama Samia ,issue ya mwanamke wa kwanza Rais.
Baada ya wataka urais wengi kutokuwepo kwenye baraza hili jipya la uwaziri na Seleman Jafo kuwepo sasa njia ya Chamwino 2025 ni nyeupe.
Jaffo amepunguziwa upinzani kabisa hapo amebakia yeye na mwinyi na Mwigulu kwa mbali (ukizingatia kauli ya Rais kwamba hatamuachia nchi mtu mzee)
Makonda
Makamba
Nape
Mavunde
Masauni
Kigwangalla
Ndoto zao za kisiasa kuingia ikulu 2025 ndio basi tena
Pole nyingi pia kwa
Mnyeti
Kunambi
Gambo
Kimei
Watu mna ndotoHapo kwa mama Samia uko sahihi kabisa na atakuwa Rais mwakani kwa mujibu wa Katiba yetu.
Acha kabisa. Nimewaza sana hiloWatu mna ndoto
Hapo kwa mama Samia uko sahihi kabisa na atakuwa Rais mwakani kwa mujibu wa Katiba yetu.
Tuambie ulijuaje... mkuu? Ulivyoelezea ni kama kitu kilichopangwa hivi..!Mwakani kutakuwa na msiba mkubwa wa furaha
DuhWe jamaa INA maana jiwe atarest in peace sio hahahahahaa
Wewe jamaa wewe inabidi tukuulize kitu.Hapo kwa mama Samia uko sahihi kabisa na atakuwa Rais mwakani kwa mujibu wa Katiba yetu.
[emoji123][emoji123][emoji1787]Mwakani kutakuwa na msiba mkubwa wa furaha
[emoji1666]Eti Jaffo? huwa sioni hata analofanya hapo tamisemi zaidi ya kuzungukazunguka tu bila mpangilio na hakuna la maana analofanya,wizara ya Tamisemi inahitaji watu makini kama akina Mtaka.
Unasemaje kuhusu comment yako? Kumbe jamaa alikomaa nalo sana. Basi kuna watu sio wa kawaida humu. Hatari sana.Hili swala si Mara ya kwanza kuona ukiliweka humu jukwaani.Nasikitika kwakua hautakuwa shahidi wa hilo swala, sijajua kama kuna uwezekano wowote wa kulishuhudia huko utakako kuwa.