Waziri Mkenda: Nafuatilia Shule ya Nkasi iliyofukuza Watoto kisa Wazazi wao ni CHADEMA Mkoani Rukwa

 Waziri Mkenda: Nafuatilia Shule ya Nkasi iliyofukuza Watoto kisa Wazazi wao ni CHADEMA Mkoani Rukwa

wAAYu9E.jpg
 
Ingawa stetei mahovu, ila hilli jambo naona linazidishiwa chumvi. Kwa taarifa niliyonayo kutoka source kamili ni kuwa siku ya uchaguzi huyu mkuu wa shule ya msingi alikuwa msimamizi mkuu wa uchaguzi, wakati wakiendelea na zoezi kuna wazazi wa hao watoto waliosimamishwa masomo walipishana kauli, huku wazazi hao (wapiga kura) wakiwatuhumu walimu kuwahujumu CHADEMA, ktk majizano hayo wazazi hao inasemekana waliendelea kuwadhihaki walimu hasa anakotoka huyo mkuu. Hapo ndo sekeseke lilipoanzia.
Na wewe ni mjinga mwenzao una akili za CCM sasa hapo watoto wanahusikaje?
 
Ingawa stetei mahovu, ila hilli jambo naona linazidishiwa chumvi. Kwa taarifa niliyonayo kutoka source kamili ni kuwa siku ya uchaguzi huyu mkuu wa shule ya msingi alikuwa msimamizi mkuu wa uchaguzi, wakati wakiendelea na zoezi kuna wazazi wa hao watoto waliosimamishwa masomo walipishana kauli, huku wazazi hao (wapiga kura) wakiwatuhumu walimu kuwahujumu CHADEMA, ktk majizano hayo wazazi hao inasemekana waliendelea kuwadhihaki walimu hasa anakotoka huyo mkuu. Hapo ndo sekeseke lilipoanzia.
Na wewe ni njinga m
Na siyo kwamba wamefukuzwa, wamesimamishwa
Wamesimamishwa kwa kosa gani?
 
Screenshot_20241205-142651.png


Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema wizara imetuma wathibiti ubora wa shule katika shule ya Msingi Izinga iliyo Nkasi kufuatilia taarifa zinazosambaa kwamba walimu wamefukuza wanafunzi ambao wazazi wao ni wanachama cha CHADEMA.

Prof. Mkenda amesisitiza kuwa vyama vipo kwa mujibu wa sheri na shule zinaongozwa kwa mujibu wa Sheria, Kanuni, Taratibu hivyo hakuna muongozo unaosema mwanafunzi atengwe kwa mlengo wa kisiasa.


ILIKUWA HIVI
Copy and paste
WATOTO AMBAO WAZAZI WAO NI WANACHAMA WA CHADEMA WAFUKUZWA SHULE
Mwalimu Mkuu( REGIUS MARTIN KAWIMBE Simu Namba 0755075299) wa shule ya Msingi Izinga iliyopo kata ya Wampembe, Jimbo la Nkasi Kusini, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi na Mkoa wa Rukwa, na ambaye pia alikuwa MSIMAMIZI MSAIDIZI wa uchaguzi katika kijiji cha Izinga AMEWAFUKUZA SHULE watoto ambao wazazi wao ni wanachama wa CHADEMA kwa madai kwamba ni maelekezo ya wizara ya Elimu yanayosimamiwa na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Ndugu AMBROSE LIJUAKALI. wafuatao ni orodha ya baadhi ya watoto waliofukuzwa
(1) MATHIAS SWEETBERT KABEZYA -STD III
(2) ANAKREDA SWEETBET KABEZYA -STD I
(3) GRACE BONIFACE KABEZYA -STD VI
(4)ANTONIA BONIFACE KABEZYA -STD IV
(5) VENUS BONIFACE KABEZYA -STD II
(6) CLEOPHACE ADABETH KABEZYA -STD IV
(7) LILIAN SWEETBETH KASWANYA -STD V
(8) ROSEMARY SWEETBETH KASWANYA- STD III
(9) JOSEPH SWEETBETH KASWANYA- STD II
TUNALAANI KITENDO HIKI NA TUNAITAKA WIZARA YA ELIMU IJITOKEZE KUKEMEA JAMBO HILI NA KUMCHUKULIQ MWALIMU HUYO HATUA ZA KINIDHAMU KWA KUKIUKA MAADILI YA UALIMU
 
View attachment 3169536

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema wizara imetuma wathibiti ubora wa shule katika shule ya Msingi Izinga iliyo Nkasi kufuatilia taarifa zinazosambaa kwamba walimu wamefukuza wanafunzi ambao wazazi wao ni wanachama cha CHADEMA.

Prof. Mkenda amesisitiza kuwa vyama vipo kwa mujibu wa sheri na shule zinaongozwa kwa mujibu wa Sheria, Kanuni, Taratibu hivyo hakuna muongozo unaosema mwanafunzi atengwe kwa mlengo wa kisiasa.


ILIKUWA HIVI
Copy and paste
WATOTO AMBAO WAZAZI WAO NI WANACHAMA WA CHADEMA WAFUKUZWA SHULE
Mwalimu Mkuu( REGIUS MARTIN KAWIMBE Simu Namba 0755075299) wa shule ya Msingi Izinga iliyopo kata ya Wampembe, Jimbo la Nkasi Kusini, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi na Mkoa wa Rukwa, na ambaye pia alikuwa MSIMAMIZI MSAIDIZI wa uchaguzi katika kijiji cha Izinga AMEWAFUKUZA SHULE watoto ambao wazazi wao ni wanachama wa CHADEMA kwa madai kwamba ni maelekezo ya wizara ya Elimu yanayosimamiwa na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Ndugu AMBROSE LIJUAKALI. wafuatao ni orodha ya baadhi ya watoto waliofukuzwa
(1) MATHIAS SWEETBERT KABEZYA -STD III
(2) ANAKREDA SWEETBET KABEZYA -STD I
(3) GRACE BONIFACE KABEZYA -STD VI
(4)ANTONIA BONIFACE KABEZYA -STD IV
(5) VENUS BONIFACE KABEZYA -STD II
(6) CLEOPHACE ADABETH KABEZYA -STD IV
(7) LILIAN SWEETBETH KASWANYA -STD V
(8) ROSEMARY SWEETBETH KASWANYA- STD III
(9) JOSEPH SWEETBETH KASWANYA- STD II
TUNALAANI KITENDO HIKI NA TUNAITAKA WIZARA YA ELIMU IJITOKEZE KUKEMEA JAMBO HILI NA KUMCHUKULIQ MWALIMU HUYO HATUA ZA KINIDHAMU KWA KUKIUKA MAADILI YA UALIMU
Watoto kutoka familiya mbili
 
Vyovyote iwavyo sio sahihi.

Mtifuano wa watu wazima unamhusishaje mtoto asiye na hatia?
Hapa ulichangia vizuri, sjui umeshikwa na shetani gani hadi baadae ukinitukana. Ila nimekujibi. Na nikwsmbie tu mimi siyo mwanasiasa, Wala sina chama chochote, na sjawahi kuwa mwanachama na sitakuwa mwanachama wa chama chochote. Zaidi, sijawahi kujiandikisha kupiga kura wala sijawahi kupiga kura na haitotokea kwenda kupiga kura. Ila kadi ya mpiga kura ninayo for personal purposes. Mimekuambia haya yote publicly ili ujaribu kuwa mstaarab ku-argue na mtu hasa usiye mfahamu.
 
Aende wapi mkuu she is here to stay

Wewe huoni kuwa kuna ombwe la uongozi wa juu.
Acha ubinafsi usiretee watu walioshiba . Hata Mungu anaangalia zaidi watu wasio na nguvu ya kujitetea.
Samia hana shida yoyote ya kimaisha wala hahitaji watu wa kumpambania . Yupo pale Ikulu kwa muda mrefu sana . Makamu wa Rais miaka 6 na rais miaka minne inamtosha na kama hakuwa amefurahia kifo cha Aliyemrithi bila shaka hakuwa amejiandaa vya kutosha ndio maana haeleweki zaidi ya kubadilika badilika bila kauli thabiti .

Alisema anataka demokrasia mbowe alipo mchalenji tu kuwa wanaandamana basi anajenga chuki na visasi . Hata Mungu hana hasira na visasi kwa kiwango hicho.

Mungu angakua sio mvumilivu dunia kila siku ingekuwa inawaka moto kwa madhambi yanayofanywa na watu amiowaumba na kuwapa kila kitu na akili ya kuishi duniani. Lakini binadamu mwenzetu amekua na hasira na ubaya kwa kila anayeonekana anashauri katiba na sheria zifuatwe.

Matukio mengi yanafanywa vibaya na wateule wake anakaa kimya kwa maana ya kukubaliana na wanavyofanya . Na mbaya zaidi wale wanaoonyesha tatizo wanashughulikiwa kisawasawa.

Ukitaka kujua duniani tunapita angalia kama Babu anayemzaa babu yako yupo wapi! Kila mtu anatamani abaki kwenye madaraka na kweye sifa na uzuri wote bila kufikia ukomo laini Mungu ameweka kila kitu kwa wakati na muda mfupi . Mwasamu asiyeridhika na mamlaka na heshima aliyobahatika kuipata ni wazi anastahili kutupwa nje ya utukufu wa Mungu kama Adam na Hawa kwa tamaa ya kutaka kuwa kama Mungu .

Hata kama atakaa miaka 30 bado anazeeka na atafikia mwisho tu kama Mugabe . Hata aisi miaka 300 lakini hawezi kuwa ni Muumba wa mbingu na ardhi.

Rais bora ni yule anayetawala kwa haki bila kujali vyama ,dini,kabila na jinsia. Wengine wanakua na Udini ,ujinsia , uchama na ukanda . Mbaya zaidi kuna wenye huo ubaguzi kwa misingi yote ya ubaguzi ( Hao ni kama ukoloni )
 
Ingawa stetei mahovu, ila hilli jambo naona linazidishiwa chumvi. Kwa taarifa niliyonayo kutoka source kamili ni kuwa siku ya uchaguzi huyu mkuu wa shule ya msingi alikuwa msimamizi mkuu wa uchaguzi, wakati wakiendelea na zoezi kuna wazazi wa hao watoto waliosimamishwa masomo walipishana kauli, huku wazazi hao (wapiga kura) wakiwatuhumu walimu kuwahujumu CHADEMA, ktk majizano hayo wazazi hao inasemekana waliendelea kuwadhihaki walimu hasa anakotoka huyo mkuu. Hapo ndo sekeseke lilipoanzia.
Sasa watoto nao waliingiaje kwenye hilo sekeseke!?
 
Umeona ukinitukana ndo nafsi yako itatulia siyo. Nahisi wewe bado ni mtoto, nimekusamehe ila usirudie, jarbu kukua kiakili
mimi siyo mtoto kama unavyofikiri na kusimamia haki hakuitaji umri,angalia leo hii watu wanatekwa wanauwawa mnaiba kura halafu mnakuja na drama za kuwafukuza shule watoto wadogo halafu unajifanya wamesimamishwa, kwa kosa lipi?naona mmejipa haki miliki ya kutawala milele sababu tu mnahaki ya kuuwa watu ngoja siku isiyokuwa na jina inakuja
 
CCM mlipoifikisha hii nchi, hapana .

Sasa hivi mmeishiwa sera , mmeamua kuteka watu na kuwaua sasa mnawafukuza watoto wadogo shule kisa wazazi wao ni Chadema Aisee..!
 
Huyo mwalimu mkuu anapaswa kufukuzwa kazi. Na kama yalikuwa na maagizo ya mkuu wa wilaya naye pia anapaswa kufukuzwa kazi.

Lakini kwa serikali hii ya huyu mama yenu, Mkenda ndiye anaweza kujikuta matatani huku hao wavunja sheria wakipewa promosheni.
Kwani wewe mtoto mdogo? Mkenda anafanya maigizo.
 
Tena isi
Ikidhibitika afisa elimu, mwalimu mkuu na chain nzuma fukuza wote
Ishie kuwafukuza tu bali huyo mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi wa wilaya, Afisa elimu wa wilaya, Mratiba kata na Mwalimu mkuu wafukuzwe kazi mara moja, na kisha kufunguliwa mashtaka ya kutumia madaraka yao kutekeleza uovu dhidi ya ubinadamu.
 
Waziri Ajitafakari Atende Haki Awatimue Chap Chap
 
Salaam Wakuu,

Awali, ikidaiwa kwamba Mwalimu Mkuu (REGIUS MARTIN KAWIMBE Simu Namba *****75299) wa shule ya Msingi Izinga iliyopo kata ya Wampembe, Jimbo la Nkasi Kusini, Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi na Mkoa wa Rukwa, na ambaye pia alikuwa MSIMAMIZI MSAIDIZI wa uchaguzi katika kijiji cha Izinga, AMEWAFUKUZA SHULE watoto ambao wazazi wao ni wanachama wa CHADEMA kwa madai kwamba ni maelekezo ya wizara ya Elimu yanayosimamiwa na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Ndugu AMBROSE LIJUAKALI.

Soma: DOKEZO - √ - Siasa Zetu: Watoto wa wanachama wa CHADEMA wasimamishwa Shule Nkasi kwa maelekezo ya Mkuu wa Wilaya na amri ya mwalimu Mkuu


Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda, alipoulizwa na JamiiForums, amesema ameshaona taarifa hii na kuchukua hatua. Kaagiza wadhibiti ubora kwenda kwenye Shule hii kufuatilia jambo hili.

Amesema Wizara inafuatilia kujua ukweli wa taarifa hizi. Haiwezekani Mwalimu ajitungie sheria zake Mwenyewe. Hakuna ubaguzi wowote kwa mtoto wa Mtanzania. Kila mtoto anatakiwa kusoma na Serikali inajenga Shule nyingi sana.

"Kama ni kweli hii taarifa itakuwa ni jambo la ajabu na kusikitisha sana". Amesema Waziri Mienda




Tumuombee asije kufukuzwa yeye maana wenye nchi sasa ni machawa
 
Back
Top Bottom