Dream Touch
Member
- Mar 26, 2023
- 25
- 46
PM AMECHOKWAKatibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa TANESCO wa miezi 6 kwa Kassim Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .
Bado haijajulikana Mamlaka hasa ya Katibu huyo, wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .
Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei, ngoja tusubiri
View attachment 2800984
Hivi Katibu Mtendaji si ndio alitakiwa kuliongelea hili na Sio Katibu Mwenezi na itikadi.Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa TANESCO wa miezi 6 kwa Kassim Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .
Bado haijajulikana Mamlaka hasa ya Katibu huyo, wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .
Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei, ngoja tusubiri
View attachment 2800984
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa TANESCO wa miezi 6 kwa Kassim Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .
Bado haijajulikana Mamlaka hasa ya Katibu huyo, wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .
Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei, ngoja tusubiri
View attachment 2800984
Wewe umepagawa nini?Kumiliki acc Twitter na FB unajiona mjanja.
Ficha upumbavu wako brother .
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa TANESCO wa miezi 6 kwa Kassim Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .
Bado haijajulikana Mamlaka hasa ya Katibu huyo, wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .
Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei, ngoja tusubiri
View attachment 2800984
Kumbe Ni chama kimemwagiza sio makonda acheni upotoshajiYani Makonda anasema hivi
"Tunangoja report ya Kasimu Majaliwa ndani wa miezi 6"
View: https://youtu.be/RlG3e-i3z1I?feature=shared
Hata kama ni kukoseana heshima, hii imezidi...
Hiki Chama kina mbili nyingi sana za kuwadanganya wapiga kura wasiojielewa na hii ni moja wapo
PM na jamaa wanacheka tu pamoja
Wanaona kura zote kwao
Chama ndo kimemwagiza , Makondani msemaji tu, acheni upotoshajiKatibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM , Paulo Makonda , ametoa muda kama ule iliyopewa TANESCO wa miezi 6 kwa Kassim Majaliwa , ili ahakikishe migogoro ya Ardhi inamalizika Tanzania .
Bado haijajulikana Mamlaka hasa ya Katibu huyo, wala sababu za kumuandama Waziri Mkuu badala ya Waziiri wa Ardhi .
Bali tunaona huko aendako atampa muda pia Dr Hangaya ili kuhakikisha mafuta yanashuka bei, ngoja tusubiri
View attachment 2800984
Mbona mapema sana kuanza kupaniki.kwa Makonda lazima mtapike damu .akiongea tu lazima kamati kuu nzima ya CHADEMA ipoteane.makonda mmoja ni sawa na CHADEMA nzima na vyama vyote vya upinzani hapa nchini na bado hamumuwezi.
Chama ndo kimemwagiza , Makondani msemaji tu, acheni upotoshaji
Chadema mnapoteza focus haraka Sana
Machadema yote kwa sasa yamegeuka na kuwa maafisa habari wa Makonda ,yamesahau habari zao na kugeukia habari za Makonda kuripoti kila tukio na kila anachozungumza makonda.kweli CHADEMA ni manyumbu.
Aliempa kazi ndio anajua kinachoendeleaShida Viongozi wetu hawajitambui. Wao wanawaza madaraka. Waziri Mkuu ni mtu mkubwa kuanza kupewa miongozo na mtu mdogo inafedhehesha sana
Saizi machadema mmeshasahau hata habari za lichama lenu na habari za helikopta .mmegeuka maripota wa makonda.hata aliko mbowe yupo Bize kufuatilia habari za makonda.kweli Makonda ni mwamba kweli kweli.akiongea tu lazima chadema wote wakimbiaji mpaka mnapitiliza nyumba zenu.hapo bado hajaanza safari ya kuchanja mikoani.kwahakika lazima mpoteane mwaka huu
Suluhu Hana iman na mjaliwaThey put him there deliberately ili wammalize kisailensa na sasa anajikaanga mwenyewe
CCM hakuhitajiki vyeti.Hivi huyu jamaa alishaonesha vyeti vyake?
God the creator