Tuboreshe kwanza hizi hizi zilizopo kama tunaweza !Hii huwa inaudhi sana, tukiwa viongozo tushughulike kwanza na maenwo yetu ya afya, maana huwa ni aibu sana kuona kiongozi wenu anafia nje ya nchi..
Mimi binafsi huwa inaniuma sana! Mfano Nyerere aliwapinga wazungu weeee mwishowe akafia kwao-aibu iliyoje?
Nashauri serikali ibadilishe lile eneo la Dege Kigamboni badala ya kufanyika mambo ya starehe bora iwe Hospital kubwa sana barani Afrika, ya kisasa, yenye kila aina ya Huduma, madaktari kutoka huko India wawepo pale na yaweza kutumika kama Health Tourism.
Waliosomea Cuba mtanielewa hapa!
Duh ! 😳😀Tabaka la watu wa aina hiyo ndilo linalotamba enzi hizi
Imekuwa ni sifa kubwa kujitoa akili na kujifanya kama li'robot' hivi lililo'programiwa', tena bila aibu!.
Kwakweli !Hata ikiboreshwa vipi itabaki kuwa yetu sisi wengine.
Kidonda cha masikini hupona kwa umande!! Lakini kwa wenye nacho huwa ni shughuli pevu mpaka kipone !Wakitibiwa nje hawafi?
Sijui unataka kujibiwa nin?JPM ALILAZWA HOSPITAL IPI NA ALIFIA WAPI? Nimeuliza tu
"CCM bado haijapata chama mbadala cha siasa cha kuitoa madarakani" Alisikika mlevi moja kutoka Lumumba. Huku familia zingine zikilamba asali toka enzi za mababu zao. britaniccaBaba alikua waziri mkuu first born ni mbunge, hao ndo wamenjoy matunda ya nchi hi, sisi wengine tunaishi tu ili mradi.
Siku akikata moto huyo shetani itakua sherehe kwa baadhi yetu.Huyu anayejiita mtoto wa mujini alaaniwe na watu wote walio wema
Tumeshaenda mara nyingi tu, toka bado hajaenda huko SA ...Chadema onesheni ukomavu wa kisiasa nendeni kwa wingi kumjulia hali aliyewahi kuwa mgombea wenu wa Urais.
So mpaka Muda huu ni 0-0 hamna voice from withinSijasikia Voices yoyote from within kumhusu EL.
Sio vibaya tukajikumbusha huyu mwamba!.
Hiki ni kumi moja, kuna makumi 10 ya Lowassa humu if!.
- Elections 2015 - Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...
- Elections 2015 - Edward Lowassa sio lazima yeye tu ndiye awe Rais wetu 2015, Rais wetu wa 2015 ni...
- Kama kipimo cha ushindi ni idadi ya watu, Lowassa ndiye rais wetu
- Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!
- Elections 2015 - Amini Usiamini, Kama Mwalimu Angekuwa Hai Hadi Leo!, Angemsupport Edward Lowassa!.
- Kama hiki ndicho Lowassa alichoitiwa Ikulu, Then tuna Rais wa ajabu! Kama ni Uongo, Lowassa ashitakiwe kwa Uchochezi!
- Japo alijiuzulu, Mhe. Edward Lowassa kuitwa Waziri Mkuu Mtaafu ni Sawa, Haki na anastahili!
- Elections 2015 - Mabadiliko Chanya ya Ujio wa Lowassa: CHADEMA Kuhama Ufipa!, Kuwa Makao Yake, Kituo cha TV na Redio!
- Ushauri wa bure kwa Lowassa, japo it's now just a matter of time kabla... Tafadhali sana tunakuomba kwanza kanusha tamko hili!
- Lowassa ni Powerful Kuliko ya JK?!
P
Ni optionMuhimbili iboreshwe hii ya viongozi kutibiwa nje haijakaa sawa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Vipi kwa wale ambao Baba alikuwa Rais na mtoto ni Rais,Baba alikua waziri mkuu first born ni mbunge, hao ndo wamenjoy matunda ya nchi hi, sisi wengine tunaishi tu ili mradi.