njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Madokta mshoneni haraka haraka aje astue kimoja kwa kina kobazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado hujamalizia!..🤣Angekuwa Ayatullah ndo ame gundulika na huo ugonjwa sasa hivi warokole wa kawe wangekuwa wamo humu wakiisifu mosad kwa kufanya kazi.
Subhanallahyamebanamikundu yao
Source yako SulaimanVyombo vya habari vya kimataifa vimeripoti kutoka katika timu ya madaktari nchini Israel kuwa waziri mkuu Benyamin Netanyahu hii Leo amegundulika kuwa na Kansa ya tezi dume stage 3 ambapo imeelezwa kuwa ataanza matibabu mara 1.
View attachment 3187961
Kwani huo uchunguzi umefanywa na kuripotiwa na Iran? Unaweza kuona wengine walivyo open kwa mambo yao. Unadhami Ayatollah ni mzima kuliko Netanyahu? Thubutu!Angekuwa Ayatullah ndo ame gundulika na huo ugonjwa sasa hivi warokole wa kawe wangekuwa wamo humu wakiisifu mosad kwa kufanya kazi.
Wayahudi hatuumwagi mkuu sisi ni wateule.Angekuwa Ayatullah ndo ame gundulika na huo ugonjwa sasa hivi warokole wa kawe wangekuwa wamo humu wakiisifu mosad kwa kufanya kazi.
Ngoja nikuletee unayoipenda ili uhakikishe.Source yako Sulaiman
😂😂😂🤣Safari hii haponi huyu damu ya watoto wa Gaza inamuandama.
hayo ni maradhi ya kawaida kwa umri wa wanaume kama netanyahu. Ila operation za kunyuka magaidi zipo palepale, mission za waisrael kujilinda ziko palepale hata bila netanyahuAngekuwa Ayatullah ndo ame gundulika na huo ugonjwa sasa hivi warokole wa kawe wangekuwa wamo humu wakiisifu mosad kwa kufanya kazi.
Pole kwake.Vyombo vya habari vya kimataifa vimeripoti kutoka katika timu ya madaktari nchini Israel kuwa waziri mkuu Benyamin Netanyahu hii Leo amegundulika kuwa na Kansa ya tezi dume stage 3 ambapo imeelezwa kuwa ataanza matibabu mara 1.
View attachment 3187961
Yaarab tobaYalikuwa yanakata mauno balaa hadharani siku hiyo huku yakibweka na sauti za juu Allah akbar Allah akbar. Sasa hivi hata kusema tu hivyo yanashindwa na wale wanaoweza wamebaki yakibweka kwa kujilazimisha Allah Akbar huku yamebanamikundu yao kwa uchungu mkali.
Maamaee myahudi
Dua la kukuSafari hii haponi huyu damu ya watoto wa Gaza inamuandama.
Nyinyi ndo mna akili za kipumbavu ,kuumwa ni kawaida kwa binadamu yeyote bila kujali ana cheo gani .Kwani huo uchunguzi umefanywa na kuripotiwa na Iran? Unaweza kuona wengine walivyo open kwa mambo . Unadhami Ayatollah ni mzima kuliko Netanyahu? Thubutu!
Safari hii haponi mshenzi yulePole kwake.