Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Huyu hatakiwi Kupona ataendelea na Mauaji ya kimbari huko Gaza anatakiwa aondoke aje mwingine.Sawa
Atibiwe Apone Aendelee Na Yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu hatakiwi Kupona ataendelea na Mauaji ya kimbari huko Gaza anatakiwa aondoke aje mwingine.Sawa
Atibiwe Apone Aendelee Na Yake
Ingekua Dua la kuku asingekutwa na kansaDua la kuku
Umerudi sheikh wangu? Ulipotea sana. Matokeo ya Vita na Hamas, Hizbullah, Iran, Syria yakoje ? Tumepotea tumeshindwa hata kupeana taarifa za kutiana moyo. Labda sasa tuisimamie hii... Anaweza akafa kesho. Sivyo? Tuseme hivyo. Maana hawa Mayahudi yamejua kutuvua nguo. Ritz alipambana pambana akachoka kabisa baada ya Iran kutotimia OPERATION PROMISE Mpaka leo. Mara akaja kusikia ASSAD KAKIMBIA NCHI. BASI AKAONA YESHE. HATAKI TENA HAYA MAMBO.Vyombo vya habari vya kimataifa vimeripoti kutoka katika timu ya madaktari nchini Israel kuwa waziri mkuu Benyamin Netanyahu hii Leo amegundulika kuwa na Kansa ya tezi dume stage 3 ambapo imeelezwa kuwa ataanza matibabu mara 1.
View attachment 3187961
Hawa Wayahood hata akija mwingine akichokozwa ni wale wale tu. Watatembeza kichapo mpaka tuwe hoi....Huyu hatakiwi Kupona ataendelea na Mauaji ya kimbari huko Gaza anatakiwa aondoke aje mwingine.
Simulizi ya Namrud na MbuYaarab toba
Astaghfullah sheikh Malaria 2
Inferiority!Nyinyi ndo mna akili za kipumbavu ,kuumwa ni kawaida kwa binadamu yeyote bila kujali ana cheo gani .
Lakini tatizo linakuja kwenu nyinyi warokole akiumwa kiongozi wa taifa lenye uadui na Israel ni lazima ugonjwa wake muuhusishe na Israel.
Kuna uzi humu unao ongelea Ayatullah kuumwa lakini kwa mujibu wa comment za warokole ni mosad ndo wamemtumia huo ugonjwa.
Wengine wanasema ni laana kwa sababu ya kuwa na uadui na taifa teule.
Rais wa Iran alikufa kwa ajali lakini nyinyi warokole mnalazimisha kuwa Israel ndo ili muuwa na sio ajali ya kawaida utadhani labda ndo kiongozi wa kwanza kufa kwa ajali.
Netanyau hapo alipo moyo wake unasaidiwa na kifaa cha umeme kufanya kazi ina maana wahuni wa kiiran wakiamuwa kukidukua hana Netanyau hana bahati ,ila hiyo sera ya Iran kufanya ugaidi dhidi ya viongozi wa mataifa mengine hawana wamemuacha ajifie mwenyewe.
Netanyahu ni mwehu wengine Wana akili hawataki vita.Hawa Wayahood hata akija mwingine akichokozwa ni wale wale tu. Watatembeza kichapo mpaka tuwe hoi....
Hahahah we jamaa bwana,ujue unazingua mkuu watakupiga fatwa moja kesho usiamke 😂Yalikuwa yanakata mauno balaa hadharani siku hiyo october 7 huku yakibweka na sauti za juu Allah akbar Allah akbar. Sasa hivi hata kusema tu hivyo yanashindwa na wale yanaoweza yamebaki yakibweka kwa kujilazimisha Allah Akbar huku yamebanamikundu yao kwa uchungu mkali.
Maamaee myahudi
Jamaa ni mbabe sana. Kwa kweli ametukomesha...yaani sina hamu naye kabisa. Kule kavuruga vuruga hata Hezbollah hoi kwa sasa. Irani haina hamu kabisa... Wameufyata amewatia ulemavu kwenye kutengeneza silaha. Yaani huyu jamaa ni mtata sana.Netanyahu ni mwehu wengine Wana akili hawataki vita.
Nyau de adrizHahahah we jamaa bwana,ujue unazingua mkuu watakupiga fatwa moja kesho usiamke 😂
Hakuna kitu kama hicho sheikh wangu. Hamna. Niamini mimi. Alikufa Khayatollah kwa magonjwa alipewa naye adhabu?Namuomba ALLAH ampe adhabu kali duniani na akhera.
Amfanye dhalili wa wadhalili kutokana na udhalimu wake
Hakuna kitu kama hicho sheikh wangu. Hamna. Niamini mimi. Alikufa Khayatollah kwa magonjwa alipewa naye adhabu?