Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Waongo hao.kakutwa nayo na anafanyiwa operation Leo usikuCnbc wanasema hana cancer lakini kuna uongo uongo sana wa Israel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waongo hao.kakutwa nayo na anafanyiwa operation Leo usikuCnbc wanasema hana cancer lakini kuna uongo uongo sana wa Israel
Kipimo anachopimiwa ni kile kile kapigwa Dole...😂Kwaiyo kipimo ndio kilekile au kuna tofaut manake mtu kashashika kinyeo chake au upimaji upo fotaut??
Haya chukua hicho kutoka kwa unaowaamini basi.Ww si unaona hata hicho vhanzo cha habari, Kobaz kwa kukurupuka.
Hii kansa ya tezi dume acha kufananisha.Imenikumbusha enzi za utawala wa kikwete aliugua tezi dume eti akaenda marekani kufanyiwa upasuaji na convoy ya watu si chini ya arobaini kwenda kuchezea Kodi za wananchi tu wakati hata hapa nyumbani angefanyiwa upasuaji
Yahud jeusi la makete alitaki kuaminiMtego huo.
Inaitwa " Intelligence trick"
Mfumo wa ulinzi umeshindwa kuzua kansa ya pumbuu.>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Huyu gaidi afi leo wa kesho huyu atateseka kitandani miaka.Kwa comments ninazoziona humu!
Jamaa atakata moto mapema!
Huu unyama ubaki salama Mungu babu yako. Halafu kuna mapunguani wanamsifia.
View: https://x.com/muhammadsmiry/status/1873241418975904209?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
😂😂😂😂😂😂😂Dua la kuku! Hilo tatizo Netanyahu analo even before October 7th. Matibabu yaliahirishwa kwa muda ili ashughulike na magaidi. Now it's a night time kupata matibabu and good news afya yake haipo kwenye kitisho.
Anajijua dunia imeshamkataa, ndio sababu ya uharibifu wote anaoufanya.Safari hii haponi huyu damu ya watoto wa Gaza inamuandama.