Waziri Mkuu wa Israel agundulika na Kansa ya tezi dume stage 3 baada ya kufanyiwa uchunguzi

Waziri Mkuu wa Israel agundulika na Kansa ya tezi dume stage 3 baada ya kufanyiwa uchunguzi

Cnbc wanasema hana cancer lakini kuna uongo uongo sana wa Israel
Waongo hao.kakutwa nayo na anafanyiwa operation Leo usiku
Screenshot_20241229-204322.png
 
⚡️BREAKING:

Rasmi: Benjamin Netanyahu (umri wa miaka 75) amegunduliwa na saratani ya kibofu, kulingana na Channel 12 Hebrew.

Netanyahu atafanyiwa upasuaji jioni hii ili kuondoa kibofu chake chini ya ganzi na anaweza kusalia hospitalini kwa siku kadhaa. Malipo ni hapa duniani unauwa watoto, wanawake na kubomoa hospitali na kujiona wewe ndiyo una haki ya kuuwa na wewe upo salama sana amekabidhiwa kansa ya tezi dume.
===============

View: https://x.com/suppressednws/status/1873371426969030818?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Yaani uwue watoto zaidi ya 16.000 halafu ubaki salama unakula kuku Mungu baba yako.

Sasa apambane na kansa ya tezi dume mamaae anakufa anajiona 🤣
 
Imenikumbusha enzi za utawala wa kikwete aliugua tezi dume eti akaenda marekani kufanyiwa upasuaji na convoy ya watu si chini ya arobaini kwenda kuchezea Kodi za wananchi tu wakati hata hapa nyumbani angefanyiwa upasuaji
Hii kansa ya tezi dume acha kufananisha.
 
Yaaani utoe roho za watoto zaidi ya 16.000 kisha ubaki salama.

Malipo ni hapa duniani kiburi kuwa wewe upo salama na unatoa amri ya watu kuuliwa kisha unajisifia sasa pambana na kansa ya tezi dume mpaka ikuingize kaburini.

Habari njema sana hizi😅
 
Israeli PM Netanyahu has been officially diagnosed with stage 3 prostate cancer and will soon undergo emergency surgery.

Stage 3 prostate cancer is considered serious.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Mfumo wa ulinzi umeshindwa kuzua kansa ya pumbuu.
 
Mayahudi wa kwa mpalange watakwambia Israel ndiyo nchi pekee wanaotibu ugonjwa huo.
 
Back
Top Bottom