Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Mkuu, acha upimbi. 😆😂🤣Yahaudi jeusi la Makete llinatoa tamko JF limechafukwa.😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, acha upimbi. 😆😂🤣Yahaudi jeusi la Makete llinatoa tamko JF limechafukwa.😂
Waulize walokole wa Tz.Ugonjwa na vita inahusiana nn mkuu
Hilo haliepukiki mkuu,hata sasa hivi yupo kwenye mateso na maumivu, ni vile tu yupo chini ya uangalizi wa hali ya juu wa wataalam wa afya na taarifa juu ya hali yake ni siri.Mimi nataka atesekee kitandani kwanza Kabla ya kufa kafiri
Hawa Jamaa huwa wanatia kichefuchefu sana kwa kweliAngekuwa Ayatullah ndo ame gundulika na huo ugonjwa sasa hivi warokole wa kawe wangekuwa wamo humu wakiisifu mosad kwa kufanya kazi.
Maelezo mazuri "maalimNyinyi ndo mna akili za kipumbavu ,kuumwa ni kawaida kwa binadamu yeyote bila kujali ana cheo gani .
Lakini tatizo linakuja kwenu nyinyi warokole akiumwa kiongozi wa taifa lenye uadui na Israel ni lazima ugonjwa wake muuhusishe na Israel.
Kuna uzi humu unao ongelea Ayatullah kuumwa lakini kwa mujibu wa comment za warokole ni mosad ndo wamemtumia huo ugonjwa.
Wengine wanasema ni laana kwa sababu ya kuwa na uadui na taifa teule.
Rais wa Iran alikufa kwa ajali lakini nyinyi warokole mnalazimisha kuwa Israel ndo ili muuwa na sio ajali ya kawaida utadhani labda ndo kiongozi wa kwanza kufa kwa ajali.
Netanyau hapo alipo moyo wake unasaidiwa na kifaa cha umeme kufanya kazi ina maana wahuni wa kiiran wakiamuwa kukidukua hana Netanyau hana bahati ,ila hiyo sera ya Iran kufanya ugaidi dhidi ya viongozi wa mataifa mengine hawana wamemuacha ajifie mwenyewe.
Hii kali...Netanyau hapo alipo moyo wake unasaidiwa na kifaa cha umeme kufanya kazi ina maana wahuni wa kiiran wakiamuwa kukidukua hana Netanyau hana bahati ,ila hiyo sera ya Iran kufanya ugaidi dhidi ya viongozi wa mataifa mengine hawana wamemuacha ajifie mwenyewe.
Hata akiwa ICU order atatoa tu kuyanyuka magaidi...Huyu hatakiwi Kupona ataendelea na Mauaji ya kimbari huko Gaza anatakiwa aondoke aje mwingine.
Atakuwa na arostoo balaa...wasiombeeGanzi ya operation ikiisha tutazamie kipigo cha mbwa Koko Huko Yemen
Haha..Sasa ni Nini hujaelewa hapo mkuu...tezi dume ndo hyo hyo cancerHii kansa ya tezi dume acha kufananisha.
Yaani utese hawa watoto hivi kisha ubaki salama unaogelea beach.
View: https://x.com/bernadotte22/status/1873172722148360638?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Haha..Sasa ni Nini hujaelewa hapo mkuu...tezi dume ndo hyo hyo cancer
JK hakukutwa na saratani ya tezi dume,Haha..Sasa ni Nini hujaelewa hapo mkuu...tezi dume ndo hyo hyo cancer
Sasa kweli utategemea askari wa israel wasife? Sema wao washenzi wanaenda kuua mpaka makamanda wakubwa sana kama akina nani yule aliuawa akiwa amejificha.....anyway angalau nasi tumeua askari wao...safi sana...maana wao wamefanya mauaji ya kimbari kwa watu wetu.Huyu kaliwa kichwa Leo huko Gaza vita Bado inaendelea.View attachment 3188020
Alikutwa na Nini?JK hakukutwa na saratani ya tezi dume,
Mbona kama umepaniki bure tu? Kumbuka Kikwete alikuwa na tezi dume. Mswalie mtume sheikh wangu.Cha kushangaza huyo mbabe wako ameshindwa kutumia ubabe wake kuondoa tezi dume badala yake sasa hivi yupo anashikwa shikwa matako na wanaume wenzie na mbaya zaidi ili kuipima hiyo tezi dume ni lazima kuzamishiwa kidole kunako kwa hiyo mbabe wako kwa sasa hana malinda.
Sijui kama unajua kama tezi dume zina grade?Alikutwa na Nini?
Ungesema hivo ndo ungeeleweka ila ya kikwete haikujulikana ni grade GaniSijui kama unajua kama tezi dume zina grade?
Huyo YAHWEH lazima na atakuwa ni gaidi ndiyo maana kipenzi chake ni muuaji.Tunamtakia pona ya haraka aendelee na kazi takatifu aliyoianzisha na kuitekeleza kwa mafanikio makubwa. YAHWEH amtangulie kipenzi chake.