Waziri Mkuu wa Israel agundulika na Kansa ya tezi dume stage 3 baada ya kufanyiwa uchunguzi

Waziri Mkuu wa Israel agundulika na Kansa ya tezi dume stage 3 baada ya kufanyiwa uchunguzi

Vyombo vya habari vya kimataifa vimeripoti kutoka katika timu ya madaktari nchini Israel kuwa waziri mkuu Benyamin Netanyahu hii Leo amegundulika kuwa na Kansa ya tezi dume stage 3 ambapo imeelezwa kuwa ataanza matibabu mara 1.
View attachment 3187961
Aongee vizuri na Mr. MOSCOVISTCH amevumbua dawa na anapanga kuizindua tena bure kufikia mwaka mpya.Pia akumbuke kufanya toba kwa matendo yake kwa Wapalestina
 
Hii stage 3 inapona? Watalaam mtujuze huyu jamaa kaua watu sanaaa bora nae apate kuonja kifo shenzii
 
Angekuwa Ayatullah ndo ame gundulika na huo ugonjwa sasa hivi warokole wa kawe wangekuwa wamo humu wakiisifu mosad kwa kufanya kazi.
Ugonjwa na vita inahusiana nn mkuu
 
😆😆😂🤣 Yanasema "Allah Akbar!" kama Lowassa alivyokuwa anasema kwa sauti dhaifu na ya unyonge kabisa "People's Power!" mwaka 2015? 🤣🤣
Kansa ya Tezi dume kaugua Netanyahu nyie mnakasirika mtafutiene basi mmasai akamtibu kuwatukana Waislam siyo dawa ya kansa ya tezi dume au mnajiliwaza.
 
Kumbe jamaa anajua pengine hatma yake imekaribia ndiyo maana anaua wengi.

Huyo akija Bongo, tunamkamata hata kama serikali yetu itakataa, maana anatakiwa na ICC
 
Kansa ya Tezi dume kaugua Netanyahu nyie mnakasirika mtafutiene basi mmasai akamtibu kuwatukana Waislam siyo dawa ya kansa ya tezi dume au mnajiliwaza.
Kwakuwa yuko karibu kufa, nashauri aongeze dose ya kipigo kwa Wapare na Waarabu wa hovyo wengine.

Netanyahu hana cha kupoteza, aongeze kipigo.
 
Jamaa ni mbabe sana. Kwa kweli ametukomesha...yaani sina hamu naye kabisa. Kule kavuruga vuruga hata Hezbollah hoi kwa sasa. Irani haina hamu kabisa... Wameufyata amewatia ulemavu kwenye kutengeneza silaha. Yaani huyu jamaa ni mtata sana.
Cha kushangaza huyo mbabe wako ameshindwa kutumia ubabe wake kuondoa tezi dume badala yake sasa hivi yupo anashikwa shikwa matako na wanaume wenzie na mbaya zaidi ili kuipima hiyo tezi dume ni lazima kuzamishiwa kidole kunako kwa hiyo mbabe wako kwa sasa hana malinda.
 
Taarifa za ugonjwa wake zimetolewa na ofisi ya Waziri Mkuu wa Israel. Unavyoshadadia sasa! Wangeamua kutozitoa ungefanyaje?
Mbona unatuchanganya umesema matibabu ya kansa walihairisha?

Kwa hiyo kesho wanangoa pumbuu zote kansa isisambae

😂😂😂
 
Vyombo vya habari vya kimataifa vimeripoti kutoka katika timu ya madaktari nchini Israel kuwa waziri mkuu Benyamin Netanyahu hii Leo amegundulika kuwa na Kansa ya tezi dume stage 3 ambapo imeelezwa kuwa ataanza matibabu mara 1.
View attachment 3187961
RIP Benjamin Netanyahu. Ulioua wametosha. Natamani huyo daktari au madaktari wangekuwa na akili ya kiutu na kukumalizia ingependeza sana nyau weee.
 
Back
Top Bottom