Waziri Mkuu wa Israel agundulika na Kansa ya tezi dume stage 3 baada ya kufanyiwa uchunguzi

Mungu fundi sana anamiliki silaha za kila aina na kujisifia na kuuwa watu hovyo ajabu umeshindwa kuzuia kansa ya tezi dume ulinzi kila kona πŸ˜‚
 
Mimi nataka atesekee kitandani kwanza Kabla ya kufa kafiri
Hilo haliepukiki mkuu,hata sasa hivi yupo kwenye mateso na maumivu, ni vile tu yupo chini ya uangalizi wa hali ya juu wa wataalam wa afya na taarifa juu ya hali yake ni siri.
 
Netanyahu anatoa amri Gaza hospital zote zishambuliwe kesho anaenda hospital kungolewa korodaniπŸ˜‚
 
Angekuwa Ayatullah ndo ame gundulika na huo ugonjwa sasa hivi warokole wa kawe wangekuwa wamo humu wakiisifu mosad kwa kufanya kazi.
Hawa Jamaa huwa wanatia kichefuchefu sana kwa kweli
 
Maelezo mazuri "maalim
 
Hii kali...
 
Atapona tu! Anahitajika kuongoza mapambano ya kuhakikisha Usalama wa Israel.
Kazi bado haijaisha.
 
Mbona kama umepaniki bure tu? Kumbuka Kikwete alikuwa na tezi dume. Mswalie mtume sheikh wangu.
 
Tunamtakia pona ya haraka aendelee na kazi takatifu aliyoianzisha na kuitekeleza kwa mafanikio makubwa. YAHWEH amtangulie kipenzi chake.
Huyo YAHWEH lazima na atakuwa ni gaidi ndiyo maana kipenzi chake ni muuaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…