Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Tumerudi utawala uliopita? Makampuni binafsi yanataratibu za kuwalipa wanaopata ajali, hao wahusika hawakupanda gari za makampuni yao na hili liwe fundisho kwa waandishi wa habari kwa kupenda chee!
Waandishi hawa wamepata ajali kwenye gari ya serikali, sidhani kama ina bima. Kutokana na gari kuwa si ya mwajiri sijui hapo mwajiri anahusikaje! Mheshimiwa waziri chukua jukumu la kuubeba msiba na malipo majeruhi na waliofariki na si kuonesha ubabe.
Waandishi hawa wamepata ajali kwenye gari ya serikali, sidhani kama ina bima. Kutokana na gari kuwa si ya mwajiri sijui hapo mwajiri anahusikaje! Mheshimiwa waziri chukua jukumu la kuubeba msiba na malipo majeruhi na waliofariki na si kuonesha ubabe.