Waziri Nape Nnauye asema bei ya internet imeshuka wakati wa Rais Samia ukilinganisha na Machi 2021

Waziri Nape Nnauye asema bei ya internet imeshuka wakati wa Rais Samia ukilinganisha na Machi 2021

Kutoka ukurasa wa Twitter Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Mawasiliano Mh. Nape Nnauye amefafanua mafanikio ya serikali katika kushusha gharama za intaneti kwa watanzania. Kupitia ukurasa huo amesema "Kwa heshima ya wale waliouliza maswali ya Data kwa nia ya kuelewa na kujadiliana kwa staha kwa lengo la kupata muafaka.

Kwamba Rais Samia hajachukua hatua juu ya jambo hili si kweli. Bei ya juu Mwezi 3/2021 ilikuwa TZS 40.04 Bei ya juu Mwezi 8/2022 ni TZS 9.35. Tuanzie hapa… https://t.co/SM3vSY7erZ
View attachment 2328179
View attachment 2328178
Na ukisoma majedwali haya mawili utaona kuwa kazi ya kwanza ya Serikali ya Awamu ya sita ilikuwa kutoa bei ya juu ilikokuwa imefika yaani TZS 40.4 kurudi mpaka TZS 9.35, inawezekana kwa wengine hili@si jambo kubwa lakini ni kweli si jambo kubwa?

Vifurushi ambavyo mara zote nimesema ni huduma ya ziada ambayo kwa Tanzania imegeuzwa kuwa huduma ya msingi mwezi 03/2021 ilikuwa TZS 1.11 mpaka 2.80 na baada ya kutengeneza msawazisho wa kupunguza ya juu ndio tukapata wastani wa TZS 1.75 mpaka TZS 4.67."

"Sasa kama ulivyo uzalishaji wa bidhaa zingine zozote kuna gharama za kuzalisha Unit moja inayosafirisha Data. SERIKALI INAENDELEA KUONA NAMNA Halafu ndio unaagalia kitu gani kinaweza kufanywa ili kupunguza gharama za uzalishaji ili kusaidia kupunguza bei ya Data. Ndio kazi serikali tunaendelea nayo tuone maeneo gani yakiguswa yatapunguza bei ya kuzalisha. Katika mazingira ambayo gharama za uzalishaji zinaongezeka kila GANI TUTAPUNGUZA GHARAMA ZA KUZALISHA DATA NCHINI ILI BEI YAKE ISHUKE. Kazi ya kwanza ilikuwa kupata uhalisia wa bei ya Data halafu …

Sio kwamba serikali haioni na ndio maana tumepunguza sana bei ya juu ili kupata uhalisia wa uzalishaji. Wakati tukihangaika kufanya haya, upande wa pili lazima kuhangaika na uwezo wa wananchi kiuchumi kuweza kumudu kununua Data, na hapa zipo hatua kadhaa zimechukuliwa na serikali.

Likiwemo swala la mishahara, kuongeza shughuli za kiuchumi kama ujenzi, kilimo (ruzuku) nk haya yataongeza uwezo wa kumudu hali ya kuongezeka gharama za maisha kiujumla.

Pamoja na hayo kumefanyika tafiti na masihirika makubwa duniani juu ya gharama za vifurishi duniani na hapa naweka link ili tusome wenyewe

Hizi links ni tafiti zinazoonyesha hali ya bei ya Data Duniani.
Worldwide Mobile Data Pricing 2022 | 1GB Cost in 233 Countries [Updated May 2022]
These ten African countries have the cheapest data plans | TechCabal cheapest- data-plans/ [Updated September 2021]
What Does 1GB of Mobile Data Cost in Every Country? [Updated July 2020

Mwenye nia ya kujua hali ya Tanzania ilipo afungue hizi aone lakini kwa kifupi. Tanzania ni nchi ya 6 Afrika kwa kuwa na bei ndogo ya Data. Na ni katika nchi zenye bei ndogo Duniani. Takwimu hizi si zetu zimefanywa na mashirika yanayoheshimika Duniani.

Mwisho Kama nilivyosema pamoja na hatua kadhaa serikali ilizochukua kudhibiti kupanda sana na kwa kasi kwa bei ya Data zipo hatua zingine tunazoendelea nazo ambazo zikifanikiwa zitasaidia kuboresha hali.

NINA AMINI KWA MAELEZO HAYA WANAOTAKA KUELEWA WATAELEWA WANAOTAKA KUENDELEA KUTUKANA NA KUKEJELI RUKSA KUENDELEA SASA….."
The only person who can trust this guy is an individual with a mental disorder..................
 
Hizi porojo, zamani 35,000 nilikuwa napata GB 30 Tigo, sasa hivi napata 19. Elfu 50 ilikuwa GB 50 sasa hivi kwa bei ileile almost unapata nusu yake GB 27.

Hizi ni hesabu rahisi kuzielewa kuliko majedwali yake aliyoyaweka kisiasa.
Huyu jamaa bure kabisa....is he okay?...
 
Muongo.

Angalia idadi ya vifurushi ndio ujue kama unafuu upo ama la??

Wahuni wanatupeleka peleka.
 
Mambo kama haya ndiyo yanayofanya baadhi ya watu wahisi kuwa,hata kile kinachoitwa ruzuku ya mafuta,hakitolewi bali watakuja kutuletea vijedwari kama hivi wamefunga funga maandishi yao na kusema hiyo ndiyo Ruzuku ya mafuta.
 
Kutoka ukurasa wa Twitter Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Mawasiliano Mh. Nape Nnauye amefafanua mafanikio ya serikali katika kushusha gharama za intaneti kwa watanzania. Kupitia ukurasa huo amesema "Kwa heshima ya wale waliouliza maswali ya Data kwa nia ya kuelewa na kujadiliana kwa staha kwa lengo la kupata muafaka.

Kwamba Rais Samia hajachukua hatua juu ya jambo hili si kweli. Bei ya juu Mwezi 3/2021 ilikuwa TZS 40.04 Bei ya juu Mwezi 8/2022 ni TZS 9.35. Tuanzie hapa… https://t.co/SM3vSY7erZ
View attachment 2328179
View attachment 2328178
Na ukisoma majedwali haya mawili utaona kuwa kazi ya kwanza ya Serikali ya Awamu ya sita ilikuwa kutoa bei ya juu ilikokuwa imefika yaani TZS 40.4 kurudi mpaka TZS 9.35, inawezekana kwa wengine hili@si jambo kubwa lakini ni kweli si jambo kubwa?

Vifurushi ambavyo mara zote nimesema ni huduma ya ziada ambayo kwa Tanzania imegeuzwa kuwa huduma ya msingi mwezi 03/2021 ilikuwa TZS 1.11 mpaka 2.80 na baada ya kutengeneza msawazisho wa kupunguza ya juu ndio tukapata wastani wa TZS 1.75 mpaka TZS 4.67."

"Sasa kama ulivyo uzalishaji wa bidhaa zingine zozote kuna gharama za kuzalisha Unit moja inayosafirisha Data. SERIKALI INAENDELEA KUONA NAMNA Halafu ndio unaagalia kitu gani kinaweza kufanywa ili kupunguza gharama za uzalishaji ili kusaidia kupunguza bei ya Data. Ndio kazi serikali tunaendelea nayo tuone maeneo gani yakiguswa yatapunguza bei ya kuzalisha. Katika mazingira ambayo gharama za uzalishaji zinaongezeka kila GANI TUTAPUNGUZA GHARAMA ZA KUZALISHA DATA NCHINI ILI BEI YAKE ISHUKE. Kazi ya kwanza ilikuwa kupata uhalisia wa bei ya Data halafu …

Sio kwamba serikali haioni na ndio maana tumepunguza sana bei ya juu ili kupata uhalisia wa uzalishaji. Wakati tukihangaika kufanya haya, upande wa pili lazima kuhangaika na uwezo wa wananchi kiuchumi kuweza kumudu kununua Data, na hapa zipo hatua kadhaa zimechukuliwa na serikali.

Likiwemo swala la mishahara, kuongeza shughuli za kiuchumi kama ujenzi, kilimo (ruzuku) nk haya yataongeza uwezo wa kumudu hali ya kuongezeka gharama za maisha kiujumla.

Pamoja na hayo kumefanyika tafiti na masihirika makubwa duniani juu ya gharama za vifurishi duniani na hapa naweka link ili tusome wenyewe

Hizi links ni tafiti zinazoonyesha hali ya bei ya Data Duniani.
Worldwide Mobile Data Pricing 2022 | 1GB Cost in 233 Countries [Updated May 2022]
These ten African countries have the cheapest data plans | TechCabal cheapest- data-plans/ [Updated September 2021]
What Does 1GB of Mobile Data Cost in Every Country? [Updated July 2020

Mwenye nia ya kujua hali ya Tanzania ilipo afungue hizi aone lakini kwa kifupi. Tanzania ni nchi ya 6 Afrika kwa kuwa na bei ndogo ya Data. Na ni katika nchi zenye bei ndogo Duniani. Takwimu hizi si zetu zimefanywa na mashirika yanayoheshimika Duniani.

Mwisho Kama nilivyosema pamoja na hatua kadhaa serikali ilizochukua kudhibiti kupanda sana na kwa kasi kwa bei ya Data zipo hatua zingine tunazoendelea nazo ambazo zikifanikiwa zitasaidia kuboresha hali.

NINA AMINI KWA MAELEZO HAYA WANAOTAKA KUELEWA WATAELEWA WANAOTAKA KUENDELEA KUTUKANA NA KUKEJELI RUKSA KUENDELEA SASA….."
Mlamba asali kumtoa kwenye huyu inahitaji minimum force.
 
Sijawahi kuwaelewa Nape na Mwigulu, nadhani watu wenye roho mbaya ya kichawi, kiburi na wabinafsi ,hawafanyi mambo kwa ajili ya wananchi wanafanya mambo yanayowafaidisha wao na watawala.

Hawa majamaa heri hata Mungu awatangulize mbele ya haki hasa Mwigulu
Duu we jomba
 
Ni kweli, March 2021 alikua bado hajaanza kulamba aslani. Ukilamba asali huwezi kujua shubiri wanayopitia wananchi
 
Napata hasira sijui kwanini tu, nikisikia kiongozi yeyote serikalini akitoa hotuba hasa inayowalenga wanaNchi wa hali ya chini ( wanyonge )
 
Compare na mwaka jana? Ndio vifurushi vimeshuka sasa hivi, kuna kipindi 1000 ilikuwa ni mb 300 tu ila sasa hivi 1000 ni mb 550 kwa Tigo, pia Airtel niliona 500 unapata mb 300. Hapa naongelea vifurushi halisi sio ofa.

Ila compare na awamu ya 4 bado vipo juu, awamu ya 4 ilikuwa 1000 unapata 1GB, 500 500mb etc.

Chengine wamejitahidi kwenye internet za majumbani, sasa hivi maeneo mengi kuna coverage za Fiber, Adsl na satelite internet, na bado usambazaji unaendelea kwa kasi.
 
Compare na mwaka jana? Ndio vifurushi vimeshuka sasa hivi, kuna kipindi 1000 ilikuwa ni mb 300 tu ila sasa hivi 1000 ni mb 550 kwa Tigo, pia Airtel niliona 500 unapata mb 300. Hapa naongelea vifurushi halisi sio ofa.

Ila compare na awamu ya 4 bado vipo juu, awamu ya 4 ilikuwa 1000 unapata 1GB, 500 500mb etc.

Chengine wamejitahidi kwenye internet za majumbani, sasa hivi maeneo mengi kuna coverage za Fiber, Adsl na satelite internet, na bado usambazaji unaendelea kwa kasi.
Uliyeandika hapa bila shaka ni Mzanzibari huwezi kukosoa chochote kutokana na kuota dodo
 
Huenda Kuna vifurushi vya walamba asali,

Hivi niliyekuwa napata 9.5GB kwa Tzs 10,000 lakini Leo napata 4.5GB kwa Tzs 10,000 kumbe ndo kushuka hivi, hakika kuvimbewa ni dhambi.
 
Yuko sahihi maana hata Bei za internet Tanzania ziko Chini kuliko Nchi jirani ila husikii malalamishi ya kijinga [emoji116]
Umelinganisha na uchumi wao na Un Employment rate yao au ni kupost tu? Eti huskii malalamishi? Wakati Kenya mwezi wa 8 Rais Uhuru ameagiza garama za kupiga simu zishushwe Kenya, baada ya tafiti kuonesha calling rate ipo juu sna, kupiga simu kume pungua snaaa. Akamteua, Ezra Chiloba kushughulikia.
 
Compare na mwaka jana? Ndio vifurushi vimeshuka sasa hivi, kuna kipindi 1000 ilikuwa ni mb 300 tu ila sasa hivi 1000 ni mb 550 kwa Tigo, pia Airtel niliona 500 unapata mb 300. Hapa naongelea vifurushi halisi sio ofa.

Ila compare na awamu ya 4 bado vipo juu, awamu ya 4 ilikuwa 1000 unapata 1GB, 500 500mb etc.

Chengine wamejitahidi kwenye internet za majumbani, sasa hivi maeneo mengi kuna coverage za Fiber, Adsl na satelite internet, na bado usambazaji unaendelea kwa kasi.
I remember 2008/2009 tunanua mb20 kwa 500..
 
Back
Top Bottom