Waziri Nape Nnauye asema bei ya internet imeshuka wakati wa Rais Samia ukilinganisha na Machi 2021

Waziri Nape Nnauye asema bei ya internet imeshuka wakati wa Rais Samia ukilinganisha na Machi 2021

Umelinganisha na uchumi wao na Un Employment rate yao au ni kupost tu? Eti huskii malalamishi? Wakati Kenya mwezi wa 8 Rais Uhuru ameagiza garama za kupiga simu zishushwe Kenya, baada ya tafiti kuonesha calling rate ipo juu sna, kupiga simu kume pungua snaaa. Akamteua, Ezra Chiloba kushughulikia.
Uchumi gani wewe wanao Malawi mbona mnapenda visingizio vya kijinga nyie?
 
Shida mkiwa CCM huwa akili zina hamia tumboni. Nsha fuatilia post/comment zako ni za mapambio tu. Ina onesha ni mnufaika wa unyonyaji wa Mwigulu. Sasa ww Tanzania una jilinganisha na Kenya uchumi?
Nimempa ban! Alikuwa Kawe Alumn, Via YETU, ..... Buku Saba wa nguvu, Kwa sasa hata password za JF hawazikumbuki
 
Hili tahila lingelambishwa bastora tu kipindi kile sasa maulid kitenge akaja kuhalibu, sijui yupo wapi yule mwamba wa bastola aende akafanye kweli
 
Back
Top Bottom