Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Mbarawa azungumza kuhusu uwekezaji wa Bandari

Makubaliano vs Mkataba!?

Which is which!?

Kazi ya TICS Kwa sasa anafanya nani!?

Kwanini mlizifunga bandari kavu na tena mkazidiscourage!?

Kwanini Leo mnalia tena kuwa bandari imezidiwa!!?

Katika maoni ya wananchi ambayo mlishauri wananchi wayatoe,je ni yapi mshayatoa!?
 
Kabisa

Wajikite kwenye vipengele vibovu vilivyoko kwenye hicho kinachoitwa makubaliano

Hakuhitaji hotuba yote hoyo angejikita kwenye hivyo vipengele.vibovu ambavyo vinalalamikiwa
Hili wanalikwepa sana badala yake wanajificha kwenye kuzungumzia zaidi utendaji duni wa bandari na umuhimu wa uwekezaji wakati hakuna yeyote anayepinga uwekezaji.....ila wanataka tu utaratibu mzuri ufuatwe na maslahi ya nchi yazingatiwe.
 
Kabisa

Wajikite kwenye vipengele vibovu vilivyoko kwenye hicho kinachoitwa makubaliano

Hakuhitaji hotuba yote hoyo angejikita kwenye hivyo vipengele.vibovu ambavyo vinalalamikiwa
Halafu hapo angekuwepo na mwanasheria mkuu wa sirikali ajibu hoja za vipengere tatasishi vya mkataba husika, kajificha wapi huyu. ccm mbele kwa mbele!! Uvccm mpo wapi?
 

Kweli kabisa hata TICTS walivyoondoka TPA walijinasibu wanauwezo wa kufanya kazi bila kuyumba

Kutoka maktaba:
1 January 2023

HUDUMA ZA TICTS SASA KUTOLEWA NA TPA (Tanzania Ports Authority)

Taarifa ya pamoja kati ya TPA na TICTS baada ya mkataba wa kuendesha gati ya makasha bandari ya Dar es Salaam kuisha na watendaji hawa wakuu wa TPA na TICTS kuongea

Tanzania Ports Authority (TPA) which runs, regulates and licenses Ports, Marine Services and Port facilities
 
Hili wanalikwepa sana badala yake wanajificha kwenye kuzungumzia zaidi utendaji duni wa bandari na umuhimu wa uwekezaji wakati hakuna yeyote anayepinga uwekezaji.....ila wanataka tu utaratibu mzuri ufuatwe na maslahi ya nchi yazingatiwe.
Sahihi kabisa Mwanasheria Hamza Johari kaweka vizuri direct kwenye eneo wananchi walionyesha wasiwasi kwenye vipengele vya mkataba.Hamza kaenda moja kwa moja kwenye eneo tata kufafanua vizuri

Kaitendea haki taaluma yake na kajitendea haki kama kiongozi wa team ya majadiliano

Anajielewa na kawakilisha maslahi ya nchi vizuri kwa asilimia kubwa

We are proud of him
 
Watanzania tuiamin Serikali

Mkataba una manufaa

Bandari haijauzwa


Na blaaa blaaa mingi.



Sisi tunataka hayo manufaa, tuyaone kupitia Mkataba Kwa mujibu wa Katiba yetu !!.

Watanzania wa sasa sio wale wa juzi. Uongo hauwezi kuwa msingi wa uongozi imara. Mkataba ukoje? Ndio suala linaloleta shida. Litatuliwe...kama alivyosema Mzee Butiku, kuliko kutugawa, huu mkataba kwanini usiwekwe pembeni???
 
Huu ujasiri wa Mzanzibar kudalalia mali za Tanganyika anautoa wapi? Pia atuambie kwenye ule mkataba yule aliyesaini kama shahidi wake ni nani? Maana hakuna jina linaloonekana
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…