In short pleaseAdv Mbula anajenga hoja nzuri ya kumtetea Rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
In short pleaseAdv Mbula anajenga hoja nzuri ya kumtetea Rais
Anasema Mkataba upo sahihi na Serikali ipo sahihiIn short please
Kwa hiyo wamegeuka Tena nj mkataba sio makubaliano?Hamza:Mkataba haukupelekwa kimwendokasi,ulifuata utaratibu
Mbona una haraka haraka sanaVyombo vya habari vyote viweke aliyoonge kiongozi wa majadiliano Hamza Johri tu
Concern za wananchi zilikuwa hapo kwenye Issues kaa address Hamza Johari
Porojo alizoongea waziri kwenye hiyo press conference watupe kwenye dustbin kama ni clip za YouTube mitandaoni waweke kipande tu alichoongea Hamza Johari watu walikuwa hawapingi faida za uwezekezaji vipengele vya huo mkataba ndio ilikuwa issue Hayo ya Dp World kuwa na uwezo na nchi kuwa itapata faida haikuwa issue sana kwa wananchi .wanajua kampuni kubwa ina uwezo wa kifedha na kiteknolojia nk.
ugomvi ssue ilikuwa vipengele vya makubaliano hapo ndipo mziki.mnene ulijikita
Kafafanua vizuri matumaini ya wananchi huko wakifika kwenye mikataba kuandaa watakuwa very serious. Na napendekeza Hamza Johari awemo.kwenye kuandaa hiyo mikataba ikiwezekana awe.kiongozi kabisa wa kuandaa mikataba hiyo
Hamza anasema kuwa Kiswahili hakina tafsiri sahihi ya neno TreatyKwa hiyo wamegeuka Tena nj mkataba sio makubaliano?
Kwanini Bandari za zanzibar ziwemo wakati tayari washapewa MakaburuWatanganyika Msiliamini jizi, jizi kubwa limejaza madola benki za nje.
Litueleze kwanini zanzibar haimo kwenye mkataba huo
Anapresha ya kuongea uongo
Imagine na pesa zote hizi tulizokopa.Sasa kama shida ni ufanisi tumeshindwaje sisi wenyewe kuongeza ufanisi, kazi ya Serikali si ndio hiyo sasa kusimamia ufanisi!.
Kama Mombasa port aka Kenyan wameweza bila muwekezaji kwanini sisi tushindwe bila muwekezaji?
Huyo anatia kichefuchefu hata kumsikiliza
Kama mkataba mama Hauna vipengele vya kuilinda nchi, hivi bimilataba vidogo ni upuuzi. Unasema akitaka ardhi lazima apate anapotaka na asisogelewe ma.mtu.mpaka Kwa ruhusa yake. Sasa mkataba mdogo anataka ardhi ya St Joseph Cathedral, lazima ibomolewe maana mkataba mkubwa unasema chochote atakachokitaka lazima apewe.Vyombo vya habari vyote viweke aliyoonge kiongozi wa majadiliano Hamza Johri tu
Concern za wananchi zilikuwa hapo kwenye Issues kaa address Hamza Johari
Porojo alizoongea waziri kwenye hiyo press conference watupe kwenye dustbin kama ni clip za YouTube mitandaoni waweke kipande tu alichoongea Hamza Johari watu walikuwa hawapingi faida za uwezekezaji vipengele vya huo mkataba ndio ilikuwa issue Hayo ya Dp World kuwa na uwezo na nchi kuwa itapata faida haikuwa issue sana kwa wananchi .wanajua kampuni kubwa ina uwezo wa kifedha na kiteknolojia nk.
ugomvi ssue ilikuwa vipengele vya makubaliano hapo ndipo mziki.mnene ulijikita
Kafafanua vizuri matumaini ya wananchi huko wakifika kwenye mikataba kuandaa watakuwa very serious. Na napendekeza Hamza Johari awemo.kwenye kuandaa hiyo mikataba ikiwezekana awe.kiongozi kabisa wa kuandaa mikataba hiyo
Mmbwa wwMpuuzi mkubwa, bladifaken
Hama nchiHuyo anatia kichefuchefu hata kumsikiliza
Kwa mfumo wa Muungano ilivo wizara zote ni za muungano maana wanasema waziri wa biashara na uwekezaji wa Tanzania kumbuka neno TANZANIABiashara na uwekezaji sio mambo ya muungano... why mbarawa?
Halafu tumsikilize mumeo ppengo?Watanganyika wote tunatakiwa kumpuuza huyu kiumbe.
Unahama mara ngapi?Hama nchi
Ulipelekwa bungeni kwa dharura haraka haraka na mimi inabidi nitoe.maoni haraka haraka huwezi jua mikataba yaweza andaliwa haraka haraka kama fast foodMbona una haraka haraka sana