BIN NUN
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 3,477
- 7,085
Basi Dr wanaosema hivo si wanaisrael weusi wasiovumbua hata dawa ya kupoteza kunguni.😁😁😁Bado mnasema Israel ndo Taifa Lenye Nguvu...
Anakupiga Mtu halafu onyo anatoa Mwingine Ole wako umrudishie 🤣🤣..
Ina maana anajua Ukimrudishia Watu watajua kuwa hana Nguvu 🤣🤣 kama anavyosifiwa