mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Na Simba na Yanga ! 😅🙏Mbuga za wanyamaaa nazoo hatuwezi kuziendesha kabisaaa jamani apewe Muarabuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Simba na Yanga ! 😅🙏Mbuga za wanyamaaa nazoo hatuwezi kuziendesha kabisaaa jamani apewe Muarabuuu
Hakuna kitu icho kwenye mkataba kausome vizur...afu kingine hio bandari inatunufaisha sisi wa bara na itachangia mapato makubwa zaid kwenye budget ya serikali huoni hayo ww unaona chuki tuh mkuu
Katika post yangu kuna hoja hakuna chuki.
Ukiweza kurudi ukasoma na kunijibu naamini nitaelewa.