Wengi wanaopiga kelele kuhusu bandari ni wapitisha mizigo kimagendo bandarini

Wengi wanaopiga kelele kuhusu bandari ni wapitisha mizigo kimagendo bandarini

Dp kama wanafanya operations pale bandarini TPA wameshindwa nini kwanini tuwaondoe TPA kwanini tusiwawezeshe TPA waongeze mapato kama ni kuongeza meli na mizigo kuwa mingi kwanini hawa DP?

unakaka kunubia kwamba hawa DP watakuwa wanazipigia simu meli zije kushusha hapa Dar hata kama mizigo inaenda Bara lingine ili tuongeze mapato?
Kuendelea kuwaamini TPA bado ni sawa na kuendelea kuwaamini ATC au TRC walisha shindwa na vifaa wanavyo , kwa vifaa hivyo hivyo walivyo navyo walikuwa waki process mizigo haraka sanabwakatibwa mzee magufuli leo imekuwaje ?

Kushindwa kwa serikali kusimamia na kuwajibisha watu iliyo wwapa majukumu ndio kumetufikisha hapa.

nikuhakikishie ni kazi ngumu sana tena sana kupambana na kundi linalo pambana kuongeza skills za wizi kuliko kuongeza skills za kuongeza uwajibikaji
 
Baada ya kufanya utafiti mdogo imebainika kuwa wengi wa wapiga kelele kuhusu bandari ni wale walio zoea kupitisha mizigo kimagendo yaani kupitisha mizigo kwa kukwepa kulipa malipo halali.

Lakini wengine ni lile kundi ambalo lina danganya nyaraka mfano mtu kaingiza kontena 100 akidai kwamba ndani zina mtumba lakini kati ya hizo kontena 100 kuna kontena 20 au 40 ndani zina magari ya kifahari mtakumbuka makontena yaliyo kamatwa ndani yakiwa na range rover mpya wakati yalisadikika ni mitumba ya furniture.

Kundi lingine ni wale wanufaika wa rushwa na wizi hapo bandarini katika uendeshaji na usimamizi na ndio maana kama mnakumbuka hata wakati wa zama za magufuli kulikuwa na kesi ya mita za kusoma mafuta kuhujumiwa kila mara

Lakini pia kuna taasisi za kidini ambazo pia kupitia msamaha wa kodi zilikuwa zina pitisha bidhaa binafsi kwa mgogo wa taasisi wakati huo kilichomo ndani ya kontena sicho kunacho paswa kuwepo

Hao ndio wengi wanapiga sana kelele maana wanaziona kabisa dalili ya mirija yao kuziba

Wanzania ni wezi na wabinafsi hatuna uwezo wa kusimamia miradi ya serikali huo ndio ukweli

NASHANGAA KWANINI TRENI YA MWENDO KASI DAR -MORO BADO HAIJAANZA KUFANYA KAZI HADI SASA = JIBU hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushiriliana na TRC

#NASHANGAA KWANINI MAPENDEKEZO YA NAULI YA TRENI YA MWENDO KASI NAULI ZILIKUWA GHALI MARA MBILI YA MABASI =JIBU Hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushirikiana na TRC

Kwa style hii bora tuwape wawekezaji nalubariki hilo 100%
 

Attachments

  • IMG_0752.MP4
    3.8 MB
  • IMG_0756.MP4
    3.5 MB
Baada ya kufanya utafiti mdogo imebainika kuwa wengi wa wapiga kelele kuhusu bandari ni wale walio zoea kupitisha mizigo kimagendo yaani kupitisha mizigo kwa kukwepa kulipa malipo halali.

Lakini wengine ni lile kundi ambalo lina danganya nyaraka mfano mtu kaingiza kontena 100 akidai kwamba ndani zina mtumba lakini kati ya hizo kontena 100 kuna kontena 20 au 40 ndani zina magari ya kifahari mtakumbuka makontena yaliyo kamatwa ndani yakiwa na range rover mpya wakati yalisadikika ni mitumba ya furniture.

Kundi lingine ni wale wanufaika wa rushwa na wizi hapo bandarini katika uendeshaji na usimamizi na ndio maana kama mnakumbuka hata wakati wa zama za magufuli kulikuwa na kesi ya mita za kusoma mafuta kuhujumiwa kila mara

Lakini pia kuna taasisi za kidini ambazo pia kupitia msamaha wa kodi zilikuwa zina pitisha bidhaa binafsi kwa mgogo wa taasisi wakati huo kilichomo ndani ya kontena sicho kunacho paswa kuwepo

Hao ndio wengi wanapiga sana kelele maana wanaziona kabisa dalili ya mirija yao kuziba

Wanzania ni wezi na wabinafsi hatuna uwezo wa kusimamia miradi ya serikali huo ndio ukweli

NASHANGAA KWANINI TRENI YA MWENDO KASI DAR -MORO BADO HAIJAANZA KUFANYA KAZI HADI SASA = JIBU hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushiriliana na TRC

#NASHANGAA KWANINI MAPENDEKEZO YA NAULI YA TRENI YA MWENDO KASI NAULI ZILIKUWA GHALI MARA MBILI YA MABASI =JIBU Hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushirikiana na TRC

Kwa style hii bora tuwape wawekezaji nalubariki hilo 100%
Wengi wanaounga mkono swala la bandari ni yale mafisafi yaliyohongwa na mwarabu muuza watumwa weusi ili yamtetee kupora bandari yetu.
 
Kuendelea kuwaamini TPA bado ni sawa na kuendelea kuwaamini ATC au TRC walisha shindwa na vifaa wanavyo , kwa vifaa hivyo hivyo walivyo navyo walikuwa waki process mizigo haraka sanabwakatibwa mzee magufuli leo imekuwaje ?

Kushindwa kwa serikali kusimamia na kuwajibisha watu iliyo wwapa majukumu ndio kumetufikisha hapa.

nikuhakikishie ni kazi ngumu sana tena sana kupambana na kundi linalo pambana kuongeza skills za wizi kuliko kuongeza skills za kuongeza uwajibikaji
Kabisa !
 
Wengi wanaounga mkono swala la bandari ni yale mafisafi yaliyohongwa na mwarabu muuza watumwa weusi ili yamtetee kupora bandari yetu.
Hilo la kuuza bandari umelitoa wapi? Na imeuzwa Tsh ngapi? Hebu tusaidie hapo kwanza
 
Mbuga za wanyamaaa nazoo hatuwezi kuziendesha kabisaaa jamani apewe Muarabuuu
Eee apewe tuu muarabu angalau serikali inaweza kupata kodi kuliko sasahivi tunaambiwa taasisi zinajiendesha kwa hasara kumbe watu wawili watatu wanapiga tu pesa
 
Baada ya kufanya utafiti mdogo imebainika kuwa wengi wa wapiga kelele kuhusu bandari ni wale walio zoea kupitisha mizigo kimagendo yaani kupitisha mizigo kwa kukwepa kulipa malipo halali.

Lakini wengine ni lile kundi ambalo lina danganya nyaraka mfano mtu kaingiza kontena 100 akidai kwamba ndani zina mtumba lakini kati ya hizo kontena 100 kuna kontena 20 au 40 ndani zina magari ya kifahari mtakumbuka makontena yaliyo kamatwa ndani yakiwa na range rover mpya wakati yalisadikika ni mitumba ya furniture.

Kundi lingine ni wale wanufaika wa rushwa na wizi hapo bandarini katika uendeshaji na usimamizi na ndio maana kama mnakumbuka hata wakati wa zama za magufuli kulikuwa na kesi ya mita za kusoma mafuta kuhujumiwa kila mara

Lakini pia kuna taasisi za kidini ambazo pia kupitia msamaha wa kodi zilikuwa zina pitisha bidhaa binafsi kwa mgogo wa taasisi wakati huo kilichomo ndani ya kontena sicho kunacho paswa kuwepo

Hao ndio wengi wanapiga sana kelele maana wanaziona kabisa dalili ya mirija yao kuziba

Wanzania ni wezi na wabinafsi hatuna uwezo wa kusimamia miradi ya serikali huo ndio ukweli

NASHANGAA KWANINI TRENI YA MWENDO KASI DAR -MORO BADO HAIJAANZA KUFANYA KAZI HADI SASA = JIBU hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushiriliana na TRC

#NASHANGAA KWANINI MAPENDEKEZO YA NAULI YA TRENI YA MWENDO KASI NAULI ZILIKUWA GHALI MARA MBILI YA MABASI =JIBU Hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushirikiana na TRC

Kwa style hii bora tuwape wawekezaji nalubariki hilo 100%
Kwa hiyo maana yake CHADEMA ni maadui wa Taifa? Wanatumiwa na mabeberu kupitia Kenya kutuhujumu, tangu enzi za Loliondo? Na vita ya makanikia? Wanatumia lugha ya kibaguzi kwani Waarabu siyo watu? Si wanaomaliza mkataba ni TICS ni Wachina, mbona hawakulisema 31 years?
 
Kwa hiyo maana yake CHADEMA ni maadui wa Taifa? Wanatumiwa na mabeberu kupitia Kenya kutuhujumu, tangu enzi za Loliondo? Na vita ya makanikia? Wanatumia lugha ya kibaguzi kwani Waarabu siyo watu? Si wanaomaliza mkataba ni TICS ni Wachina, mbona hawakulisema 31 years?
Inawezekana pia hata CHADEMA wakawa wanatumiwa kurubuni watu na ndio maana kama unakumbuka Halima mdee alibanwa mbavu pale bunheni na spika baadabya kuanza kutumia hisia kwenye mjadala badala ya vifungu vilivyopo akaanz oooh!mie naona mbali si jui wapi,
 
Baada ya kufanya utafiti mdogo imebainika kuwa wengi wa wapiga kelele kuhusu bandari ni wale walio zoea kupitisha mizigo kimagendo yaani kupitisha mizigo kwa kukwepa kulipa malipo halali.

Lakini wengine ni lile kundi ambalo lina danganya nyaraka mfano mtu kaingiza kontena 100 akidai kwamba ndani zina mtumba lakini kati ya hizo kontena 100 kuna kontena 20 au 40 ndani zina magari ya kifahari mtakumbuka makontena yaliyo kamatwa ndani yakiwa na range rover mpya wakati yalisadikika ni mitumba ya furniture.

Kundi lingine ni wale wanufaika wa rushwa na wizi hapo bandarini katika uendeshaji na usimamizi na ndio maana kama mnakumbuka hata wakati wa zama za magufuli kulikuwa na kesi ya mita za kusoma mafuta kuhujumiwa kila mara

Lakini pia kuna taasisi za kidini ambazo pia kupitia msamaha wa kodi zilikuwa zina pitisha bidhaa binafsi kwa mgogo wa taasisi wakati huo kilichomo ndani ya kontena sicho kunacho paswa kuwepo

Hao ndio wengi wanapiga sana kelele maana wanaziona kabisa dalili ya mirija yao kuziba

Wanzania ni wezi na wabinafsi hatuna uwezo wa kusimamia miradi ya serikali huo ndio ukweli

NASHANGAA KWANINI TRENI YA MWENDO KASI DAR -MORO BADO HAIJAANZA KUFANYA KAZI HADI SASA = JIBU hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushiriliana na TRC

#NASHANGAA KWANINI MAPENDEKEZO YA NAULI YA TRENI YA MWENDO KASI NAULI ZILIKUWA GHALI MARA MBILI YA MABASI =JIBU Hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushirikiana na TRC

Kwa style hii bora tuwape wawekezaji nalubariki hilo 100%
Acha porojo. Huo mkataba wa kibwege hatuutaki
 
Acha porojo. Huo mkataba wa kibwege hatuutaki
Sasa huutaki wewe upo huko kitumbini huko huutaki kivipi bwashee! Wakati wabunge wako ulio waamini ukawachagua wakuwakilishe na ni watunga sheria wako wameupitisha kwa kishindoo kabisa
 
Kwahiyo nchi nzima tunapitisha makontena pale bandarini??

Huo mkataba ni mbovu inahitaji kujitoa ufahamu kuutetea.

Yaani uwe zezeta ndio utaona hauna tatizo lolote.
 
Back
Top Bottom