mzeewaSHY JF-Expert Member Joined Aug 31, 2021 Posts 8,916 Reaction score 8,630 Jun 17, 2023 #141 rikiboy said: Mbuga za wanyamaaa nazoo hatuwezi kuziendesha kabisaaa jamani apewe Muarabuuu Click to expand... Na Simba na Yanga ! π π
rikiboy said: Mbuga za wanyamaaa nazoo hatuwezi kuziendesha kabisaaa jamani apewe Muarabuuu Click to expand... Na Simba na Yanga ! π π
Good Father JF-Expert Member Joined Feb 28, 2014 Posts 10,321 Reaction score 18,574 Jun 18, 2023 #142 zous said: Hakuna kitu icho kwenye mkataba kausome vizur...afu kingine hio bandari inatunufaisha sisi wa bara na itachangia mapato makubwa zaid kwenye budget ya serikali huoni hayo ww unaona chuki tuh mkuu Click to expand... Katika post yangu kuna hoja hakuna chuki. Ukiweza kurudi ukasoma na kunijibu naamini nitaelewa.
zous said: Hakuna kitu icho kwenye mkataba kausome vizur...afu kingine hio bandari inatunufaisha sisi wa bara na itachangia mapato makubwa zaid kwenye budget ya serikali huoni hayo ww unaona chuki tuh mkuu Click to expand... Katika post yangu kuna hoja hakuna chuki. Ukiweza kurudi ukasoma na kunijibu naamini nitaelewa.
zous JF-Expert Member Joined Sep 25, 2017 Posts 3,152 Reaction score 5,854 Jun 19, 2023 #143 Good Father said: Katika post yangu kuna hoja hakuna chuki. Ukiweza kurudi ukasoma na kunijibu naamini nitaelewa. Click to expand... Kama hujaona chuki kwenye kitu ulichoandika wew utaezaje ona madhaif ya mkataba ambao hujaandika?
Good Father said: Katika post yangu kuna hoja hakuna chuki. Ukiweza kurudi ukasoma na kunijibu naamini nitaelewa. Click to expand... Kama hujaona chuki kwenye kitu ulichoandika wew utaezaje ona madhaif ya mkataba ambao hujaandika?
M msumbawanga Member Joined Mar 31, 2023 Posts 12 Reaction score 10 Jun 19, 2023 #144 hatumtaki mwarabu. kama vipi mpeni bandari za zanzibar