Wengi wanaotaka wake zao wasifanye kazi wana upeo mdogo wa kufikiri halafu ni wabinafsi

Sasa hivi tuna kundi la vijjana wavivu wapendwa kitonga. Wanataka wapate wenza wawasidie kulea familia, wakati huo huo wanataka wapate heshima ya mwanaume ndani
Huwezi kupata heshima hiyo, mifano tunayo Mingi mitaani, ni shida tunajua ila watu wanataka kujitoa ufahamu
 
Kwa hiyo wewe unafikiri Samia alitoka nje nyumbani kwao kwenda kutafuta kazi au aliitwa tu na kuambiwa kaa hapa ule mema ya nchi?

Vipi mme wake anajivunia na ana furaha ya kutosha sababu mkewe ni Rais?

Kwahiyo Samia, from familia ya billionaire Kizimkazi 😅, kwao hawakutaka awe goli kipa wakamtafutia kazi ila Wewe usiye hata na urithi wa uchawi unataka binti yako awe goli kipa? utakua sio mzima.

Mme wake anajivunia hajivunii mimi na wewe hatujui. Ulitaka mme wake ajivunie mke goli kipa badala ga Rais? Mme wa hivyo ni zwazwa.

Ukitoka familia maskini utaona umaskini ni kawaida. Ukitoka familia ya Kati utaona kuwa na hela ni jambo la kawaida.

Probably umekua mazingira ya ugoli kipa kwako ugoli kipa ni kawaida and I strongly believe unaandaa mwanao awe goli kipa Bora kwa mme wake na mkeo ni nyanda zaidi ya Onana.

Kwetu ugoli kipa ni mwiko. Mwanamke hawezi kuwa goli kipa na ni mwiko kuoa goli kipa. Mimi nawewe can't see eye to eye. I rest my case.
 
Mkuu
Embu nitafutie sehemu Robert Heriel Mtibeli alipoandika hapa tunazungumzua wanawake walioajiriwa?

Embu nionyeshe sehemu uliposema kwamba Mke wako atafanya kazi lakini si za kuajiriwa?
Si wewe ulisema kazi ni kula, kulala na mazoezi ya viungo?
 
baada ya kuona kaandika ujinga kakimbilia hoja ni wanawake walioajiriwa lakini mtoa mada hajasema hivyo kwamba ni wanawake waajiriwa tu kasema kufanya kazi

nimeachana nae huenda pia umri unasumbua.
 
Uliweza kuandika paragraph chache sana ila umeandika paragraph nyingi inaonesha kuna mwana kamchukua dada ako alaf anampausha 😂😂.

By the way upo sahihi kama huna kipato kikubwa mruhusu mke wako afanye kazi msaidiane.

Pia omba radhi haraka iwezekanavyo milioni nne sio ndogo.Mimi ntaoa kwa mahali ya alfu tisini na mia mbili tu.Tafadhali usinitengeneze mazingira magumu 😁
 
Wapi walimtafutia kazi wewe? Hivi yule Rais wa Zanzibar sasa unafikiri amewahi kutafutiwa kazi?

Kuna tofauti Kati ya kutafutiwa kazi na kuitwa tu unaambiwa kaa hapa kula mema ya nchi.

Mke kukaa nyumbani siyo lazima awe gorikipa, anaweza kukaa nyumbani na akafanya kazi na computer yake remotely! Wewe umekariri kufanya kazi lazima upande daladala

Pia hizo kanuni ulizojiwekea wewe na familia yenu siyo sheria ya nchi kwamba lazima kila mtu azifuate, ziishi wewe, usilazimishe kila mtu

Na kama huna uhakika kama mmewe ana furaha au hana sababu mkewe ni Rais basi nakushauri upunguze hiyo sauti ya subwoofer yako
 
Mwanangu umeandika kitu pow kwa 100%
Afu we ntibeli tukuambie jambo moja
Shida ya wanaume Sio kazi/pesa ya mkeo
Hatuna shida nazo wala mipango nazo
Shida inakuj pale ambapo atashindwa kutumiza MAJUKUMU YAKE kwa kigezo cha kutafuta hela
 
Kwani akifanya kazi hawezi kuwa pambo au kumburudisha mumewe?

Kuna wanawake wanaofanya kazi na bado ni warembo kuliko wanaokalizwa nyumbani.
Hoja yako haina mashiko
Kuna office moja nawasaidia biashara zao kiufundi 99% ya wanawake mle ndani wanatembea na staff wenzao tena wengine wamepata kazi kwa kutembea na mabosi wao na wana pete za ndoa kabisa,huo ni mfano mmoja wapo ambao naujua kabisa.
Omba sn unifikie huko mkuu things are worse at the moment huko maofisini
 
Mkuu
Embu nitafutie sehemu Robert Heriel Mtibeli alipoandika hapa tunazungumzua wanawake walioajiriwa?

Embu nionyeshe sehemu uliposema kwamba Mke wako atafanya kazi lakini si za kuajiriwa?
Si wewe ulisema kazi ni kula, kulala na mazoezi ya viungo?
Wewe acha kunipotezea muda wangu

Mimi NIMESEMA NIKIJA KUJAALIWA NA MUNGU kuwa bilionea MKE WANGU SITAKI AFANYE KAZI YOYOTE HATA KUPIKA TU, KAZI YAKE KUBWA NIMESEMA ITAKUWA NI KULA, KULALA NA KUFANYA MAZOEZI.

KAMA UNAPENDA KUENDELEA NA MALUMBANO ENDELEA ila mimi huo ndiyo msimamo wangu na usianze kunisumbua eti nikutajie nani hafanyi kazi kwani umenilipa chochote au hata kuninunulia tu bando?

Na nimesema nikija kuwa Bilionea, sijasema nikiwa milionea, hujiulizi kwanini nimesema hivyo?

Kama hujawahi kuona mtu asiyefanya kazi basi subiri niwe bilionea utamuona mke wangu kwa mara ya kwanza
 

Carry on. Not worth my time.
 
sasa mkuu. Kwanini unakuwa muongo kusema kwamba tunajadili waajiriwa wakati hakuna sehemu ipo specify kwa hilo.

soma tena mada kwa utulivu.
 
Nasema hivi katika watoto 3 wa mwanamke anayefanya kazi ofisi tofauti na mume wake 1-2 si wa bwana wake.
Akapime DNA atarudi amevimba
😂😂😂😂Nipo huku labda wabibi kuanzia miaka 50 kwenda mbele ila hawa kushuka chini wanachezewa sana hizi safari ...Mara kukumbatiana yaani huku watu wana makoloni yao mapya
 
Mleta mada bado mtoto asilaumiwe,mada zake toka nilipoujua umri wake siku hizi nasoma heading tu.

Usually elimu ya maisha kila mtu huipata automatically jinsi umri wa kukaribia majukumu fulani unapofika,ni kusema kijana akiwa aged 27-30 (umri danganyifu wa tamaa za ujana wenye ndoto nyingi za mahusiano bora na mazuri,ambazo mara nyingi huwa ni uwongo ) siyo rahisi mimi niliye 40 na niko full experienced ku-paste chochote kwenye ubongo wake hadi akija kufika hiyo 40 ndiyo anakutana na yale aliyoambiwa akiwa 27....

Ndiyo anakuja kugundua anhaa,kumbe wakati ule bro alikuwa na maana hii?nae atapambana kwa namna yake atachomoka au atapotea hivi ndivyo maisha yalivyo so mleta mada apewe muda.
 
Na ni post nyingi anazopost huwa ni utumbo tu, siku nyingi namfuatilia ana EGO kubwa sana na hajijui
 
sasa mkuu. Kwanini unakuwa muongo kusema kwamba tunajadili waajiriwa wakati hakuna sehemu ipo specify kwa hilo.

soma tena mada kwa utulivu.
Soma tena msimamo wangu, achana na mambo ya mada

Mimi Mungu akinijaalia kuwa bilionea sitaki mke wangu afanye kazi yoyote hata kupika tu, kazi yake kubwa itakuwa ni kula kulala na kufanya mazoezi.

Na hakuna wakunibishia hata huyo mke mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…