myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Upewe wewe ushahidi!!..Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upewe wewe ushahidi!!..Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito...
Nenda ubalozi wa Marekani watakupa ushahidi,Kama raia wa Tz nahitaji kupata ukweli. Hii ni kwa mujibu wa ibara ya 18 ya katiba JMT.
Kwa hiyo balozi wa marekani ndi mungu wako au mume wako unaetaka watu wamuamini?Anza na ubalozi wa marekani waliomtangaza kwamba anadhurumu watu haki ya kuishi na kumpiga marufuku kwenda huko marekani...
We kummmamko akipelekwa kwa pilato mnazuia! watu wakisema nako shida! Ngojeeni tumle kiboga na kichwa ndio mpate akili!Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.
Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.
Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama, kushiriki atuwekee hapa.
Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.
Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa...
Wakithibisha wewe utafanya Nini?,kumsaidia mwambie aende mahakamani akawahtaki hao wanaomchafua.jamaa anahitaji ushahidi jinsi Bashite alivyovamia Clouds media
wapi nimesema wathibitishe,mwambie wewe aende mahakamani,mimi nimempuuzaWakithibisha wewe utafanya Nini?,kumsaidia mwambie aende mahakamani akawahtaki hao wanaomchafua.
Argue sensibly and logically.Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.
Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa...
Kukosa elimu ni tatizo kubwaArgue sensibly and logically.
Unajua utofauti wa tuhuma na ushahidi? Makonda anatuhumiwa kuhusika kwenye utekaji, mauaji, upotezaji watu, kubambikia watu kesi na uporaji wa pesa na mali za watu kupitia cheo chake...
Ulikuwa unamtetea Sabaya, sasa naona umeanza kumtetea Bashite..ukimaliza mtetee na MusibaHabari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.
Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa...
Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito...
unamtetea mlikula wote? hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho huyu makonda ndo alimteka mo na kumfanyia mambo ya pwani sio m2 mzuri huyu.Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.
Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa...
Tundu Lisu amesema bayana kuwa siku anapigwa risasi Makonda aliacha kuhudhuria event ya rais Dsm na alikuwa Dodoma. Unataka ushahidi gani tena?Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.
Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.
Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama, kushiriki atuwekee hapa.
Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.
Ndugu yangu, hapa jamii forums siyo mahakama. Hapa ni kuonesha hisia zako. Mbona unalalamika sana. Mahakama itafanya kazi yake na itaamua kwa haki. Pilipili ziko shamba, zinakuwashaje?Habari za kumchafua mtu kwa speculations ni jambo baya sana. Na upuuzi usiofaa. Tena kumhusisha mtu na matukio mazito.
Sheria yetu ya Jinai ipo wazi kabisa, kupanga njama, kushiriki kosa wote mnahesabika mmefanya kosa.
Sasa mwenye ushahidi wa Makonda kupanga njama, kushiriki atuwekee hapa.
Ushahidi uwe wa video, sauti au nyaraka utakuwa unafaa maana itathibitika ni mhalifu anayelindwa.