maforce
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 660
- 616
Tuwe na akiba ya maneno.HUYU MTU SERIKALI INA KILA KITU IKAAMUA TU KUMPELEKA MAHAKAMANI WATAMNYONGA.
NA NI SUALA LA MUDA TU BASHITE HANA MAISHA MAREFU KWENYE POLITICAL EXPERIENCE.
Pia ana kaushamba fulani hivi hii kupost Insta kulalamika ni kukoleza 🔥.
Ndo alichokifanya Sabaya kwenda clouds.
Kwanini Bashite anafanya hivi ni baada ya kuomba access ya kukutana na Mama Kukataliwa saiv anatapatapa.
Na Mama hana tatizo ila tatizo liko kwa Deep state. Deep state wamekaza hawataki mazoea na Bashite coz now ni kama gunia la mavi ukilibeba lazima unuke.
Na Bashite ana nuksi watu wote aliowafanyia fitina leo hii ni prolific gentlemens of the state.