Wewe kama mwanaume Unaweza kuvumilia?

Simp
 
Na akianza kukusumbua mpotezee
Hapa nimemwambia kitu kimoja tu ukiona mimi nimekutafuta nitukane ase mdio kaanza kutuma sms wakat uho nilimtumia sms kabla ya hii thread kuandika hapa ndio sasaiv ana anza kujibu sms ase nimepatikana
 
Ningeshangaa ujue kupika halafu uwajue na wanawake..!! Thubutuuu 😹😹🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…