Haha unaota subirini mwenye Mwanza yake afike mtajificha uvunguni siku hiyo.ccm ni mwanza na mwanza ni ccm, shinyanga, Geita simiyu na Kagera kote chadema andikeni maumivu ya kifua kikuu.Huko ndiyo kuna kura 12 million za Magu labda muokoze za ziada.
Molemo uwe unajitahidi kuweka picha zote muhimu za kwenye mkutano.Tundu Antipas Lissu Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewasili Mwanza kwa kishindo kikubwa.
Akiambatana na Mgombea Mwenza pamoja na Mwenyekiti wa chama Freeman Mbowe mgombea huyo amelakiwa na umati mkubwa wa watu ambapo maandamano yameanzia katika Uwanja wa ndege kuelekea Uwanja wa Furahisha.
Msururu mkubwa wa Bodaboda,magari na watu kujipanga kandokando ya Barabara ndivyo vilivyopamba mapokezi yake.
View attachment 1555426
View attachment 1555429View attachment 1555430View attachment 1555431View attachment 1555432
Lisu anamuiga Magufuli?Hahaha endelea kushangaa, Magufuli alifanya kampeni tangu 2015 lakini bado hajamaliza mpaka leo.
Simiyu ipi na shinyanga na kagera ipi unazisema???? Au uko nje ya Tanzania???Haha unaota subirini mwenye Mwanza yake afike mtajificha uvunguni siku hiyo.ccm ni mwanza na mwanza ni ccm, shinyanga, Geita simiyu na Kagera kote chadema andikeni maumivu ya kifua kikuu
Hilo wazungu wake hawakumkumbusha.Ametisha. Wakoloni walijenga reli, barabara, shule, vyuo, hospitality, elimu bure, matibabu bure, maji bure, lakini tulikosa kitu kikubwa kuliko vyote,...UHURU
Na bado anaomba nafasi ya kujenga mireli yake isiyo na mpangoWe wanted to be FREE, kuwa HURU! Hatukuwa na shida ya vitu, tulikuwa na shida ya UHURU! Tuwe huru kwenye umasikini wetu! leo hatuko HURU, hatuna vitu, Jiwe katupiga kote kote!
Kwahiyo sasa pia mnataka uhuru wa nini?We wanted to be FREE, kuwa HURU! Hatukuwa na shida ya vitu, tulikuwa na shida ya UHURU! Tuwe huru kwenye umasikini wetu! leo hatuko HURU, hatuna vitu, Jiwe katupiga kote kote!
Ndio[emoji38] Kwani tuna comment ili tuchekeshe?
Mzee kaanzia majiji mazito bila shaka ina fata Mbeya
Hii ni lugha gani? Kihutu?Akuna watu
Jiwe leo lazima ataongea kikwenu mara baada ya wana singida kumuonjesha shubiriLisu anamuiga Magufuli?
Basi sawa.
Akuna watu
Wale majamaa ni balaa kabisa wana misimamo isiyo yumba hivyo Jiwe ajiandae kisaikolojiaStrategically, baada ya Mwanza angekwenda Bukoba kabla ya Mbeya!!! Wahaya wana usongo sana na Jiwe toka ataifishe fedha zao walizochangiwa baada ya tetemeko; kule kwa WAITU jiwe hawezi kupata kura!!!
KisukhumaHii ni lugha gani? Kihutu?
Hakika mataga mwaka huu lazima yaumwe kwikwiSimiyu ipi na shinyanga na kagera ipi unazisema???? Au uko nje ya Tanzania???
Sasa hiyo ni Mwanza tu, Lissu akienda Simiyu, Shinyanga na Kagera lazima uingie uvunguni mataga wewe!!