Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Kwa kweli Lissu anazidi kutisha.
Anapendwa na watu.
Anapendwa na watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli, juzi nilimsikia msanii mmoja anaimba.. VUA SHATI.. wakavua kijani zao, nadhani maji yakizidi unga atawaambia wavue suruali.Ccm kwa sasa hivi wamehamia kwenye kushindanisha umahiri wa kucheza SINGELI baada ya mgombea wao kuwaruka kwenye sera na kujikuta anaongelea kugongana bila kinga.
tiMliambiwa kuwa hamtavunjiwa nyumba kwa sababu mnaipenda CCM. Kwa usaliti mlionyesha leo tunakuja kuvunja nyumba zenu zote mlizojenga holela.
Uthibitisho ni hii picha. Haya mahaba mliyoonyesha kwa mgombea wa CHADEMA mwenyekiti hawezi kuvumilia.View attachment 1555623
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Kingine Lisu amekuwa akiongelea kuwa watatoa bima ya afya Bure !! Mwanza ni mkoa mmoja wapo unaoongoza kwa watu wake kuwa na afya hawaugui ugui hovyo Hakuna malaria kule na hata wakiumwa wengi huwa hawaendi hospital wanatumia dawa za kienyeji .Hiyo bima yake ya afya ana kazi ya ziada kuielezea Mwanza waielewe!!!
Uhuni mtupu, tuna Rais wa ajabu haijawahi tokea!Vitu vyote Chato
Huyu ashindane na Membe tu ndo saizi yakeTundu Lisu leo katika mkutano mwanza ameuelezea umati wa watu kuwa reli kutoka dar to kigoma ilijengwa na wajerumani, reli toka dar to Arusha ilijengwa na mjerumani, tabora to mwanza ilijengwa na mwingereza, badari, viwanja vya ndege na viwanda, kwanini tuliwafukuza wazungu?
Dogo inaonekana umeanza siasa mwaka huu baada ya Lisu kutoka ughaibuniwalio karibu na mawe wamwangalie sana anaweza kuzimia akiziona hizo picha....
Angalia usije ukageuka taga, maana hao watu wakati mwingine wanalua maruhaniChadema leo mmeamua kuwabeba watu kwenye malori na mafuso kama wanavyofanya wale wa Magufuli.
Acheni hizo bwanaaaaa
Nimejaribu kuwaza kama MATAGA[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]