CHARLES2016
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 376
- 435
Yaani kusema ukweli Chadema hamna sera zenye mashiko. Mambo mnayobeza leo ni hayo hayo mliyokuwa mnapigia kelele. Magufuli ametekeleza karibu yote, nakumbuka mwaka 2016 walipoona Magufuli anatekeleza hayo waliyokuwa wanayapigia kelele wakadai eti ameigilizia ilani ya Chadema.
Ziko wapi hoja zenu za ufisadi, rushwa, nchi kutokuwa na ndege, upatikanaji wa maji safi na salama, masoko ya uhakika kwa wakulima n.k.
Leo hoja zenu zimejificha kwenye haki na uhuru wa mwananchi, hoja ambayo kwa mtanzania wa kawaida siyo rahisi kukuelewa.
Wananchi wakawaida hasa waishio vijijini wanahitaji vitu vinavyoonekana Kama barabara, huduma za afya, maji safi na masoko ya bidhaa zao za kilimo. Mtu Kama huyo ukimwambia haki na uhuru sidhani Kama atakuelewa.
Ziko wapi hoja zenu za ufisadi, rushwa, nchi kutokuwa na ndege, upatikanaji wa maji safi na salama, masoko ya uhakika kwa wakulima n.k.
Leo hoja zenu zimejificha kwenye haki na uhuru wa mwananchi, hoja ambayo kwa mtanzania wa kawaida siyo rahisi kukuelewa.
Wananchi wakawaida hasa waishio vijijini wanahitaji vitu vinavyoonekana Kama barabara, huduma za afya, maji safi na masoko ya bidhaa zao za kilimo. Mtu Kama huyo ukimwambia haki na uhuru sidhani Kama atakuelewa.